Dada mumeo hukumjua tu toka mwanzo km ni mchepukaji anafanya hivyo toka yupo na wewe hiyo ni tabia yake.Na hichi ndokinachoniuma zaidi maana yake amefanya makusudi angekuwa mmoja ningesema bahati mbaya Ila 3 duh! Ndomana naona aibu kushirikisha ndugu naona Kama ntakuwa najivua nguo
Eti siku hizi mnafunga ndoa za nini, yaani tabia ya mtu mmoja ndio isababishe watu wasifunge ndoa. Jaribu kujenga hoja bila kupotosha watu. Siku hizi issue za kuporomoka maadili ni kubwa na sababu kubwa inaelezwa ni wazazi kukosa commitment kwenye malezi wewe unasema ndoa zisifungwe.Simu simu simu!
Wewe huna simu ya siri? Mumeo ana rukhsa ya kushika simu yako?
Siku hizi kwanza mnafunga ndoa za nini?
Unakuta wanandoa eti ni marufuku kila mmoja kushika simu ya mwenzake.
A dead giveaway.
Vumilianeni tu sasa. Ndoa mliitaka wenyewe…
Mkishindwa kuvumiliana, achaneni.
Kuachana siyo mwisho wa dunia.
Na hata ingekuwa mwisho wa dunia, ni bora tu kuachana kuliko kuendelea kudanganyana kama mko mataahira.
Hahaa! Pole sana, hiyo ndiyo adha ya kuoana vijana wadogo wadogo kabla ya kukomaa akili. Wenzenu tulikuwa tunaoana tukiwa fit kiakili na kimwili na kiroho baada ya kuchunguzana angalau miaka mitatu kwa uchache! Sasa ndoa za siku hizi watu wakichunguliana paja kwenye bar au hotel basi tayari muda mfupi ujao wamekaa meza moja. Baada ya hapo wanapelekana Lodge kulana NDIZI, na huko ahadi mbalimbali zinatolewa ikiwemo kuoana.Ushauri wenu jamani mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu. Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi, Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
Wapi nimesema ndoa zisifungwe?Eti siku hizi mnafunga ndoa za nini, yaani tabia ya mtu mmoja ndio isababishe watu wasifunge ndoa. Jaribu kujenga hoja bila kupotosha watu. Siku hizi issue za kuporomoka maadili ni kubwa na sababu kubwa inaelezwa ni wazazi kukosa commitment kwenye malezi wewe unasema ndoa zisifungwe.
Anza na wewe kula NDIZI sehemu sehemu! Kwanza una umri gani hadi unalalamika hivi, utadhani tangu dunia iumbwe ndiyo tatizo umeanza no wewe! Mambo ya kucheat n ya kawaida sana katika dunia ya leo. Nakuambia zaidi ya asilimia 90 unaotuomba ushauri humu yaani wake kwa waume wana michepuko yao. Wengine wanajifanya kukuonea huruma humu kumbe saa hizi wapo na madume/ majike ya mchepuko kitandani. Wanakujibu huku NDIZI inaunguruma kitandani na ni ya mchepuko. Kwa hiyo wewe nenda na wakati pia badala ya kulalamika humu! Sijui umri wako ni miaka mingapi sasa hivi!Ndomana sijashirikisha mtu yeyote mpaka sahivi nimekuja kuomba ushauri kwenu hata wazazi wenyewe na ndugu napata wakati mgumu kuwambia maana ni aibu jamani miezi 6 ya ndoa michepuko 3 na bado usikute wapo pia nisiowafahamu unajua inakatisha tamaa naona tu Kama nitawaumiza wazazi wangu kwanza baba alivyo mkali na hii mimba najua tu hatokubali nirudi nyumbani na hii mimba, jamani ndoa ni ngumu Mungu wangu
Usichukue ushauri wa huyu mwamba utavunja ndoa yako mapema sana.Kama ni movie ndio kwanza ipo kwenye ....
”Starring”....“Executive Producers”...”Title”... usijaribu kuvunja ambacho mungu amekiunganisha mkuu!
Nachokiona wewe umeolewa ila ni mgeni kwenye michezo ya mapenzi. Nikutoe hofu tu kuwa wanaume 80% huwa wana cheat ila kwa adabu sana! 20% ndio ambao hawana adabu kwenye cheating wao hawana aibu kuonesha kuwa wana cheat na hawa ndio wabaya sana.
Ukivunja ndoa sababu mume ameku cheat jua uendako pia utachitiwa tu na utakuwa dissapoonted mara mbili! Jifunze kuishi na hio hali kuwa mumeo sio muaminifu na maumivu yakizidi na wewe tafta mtu akugongege kwa siri ili akufariji. Hio ndio namna ya kupunguza machungu ila usiache kumuheshimu mumeo hata ukishaanza kuliwa maana ukiteleza hapo tu utapewa talaka kwa aibu na fedhea. Liwa nje ila usianze dharau na kejeli utakamatwa.
Ni mwanaume mjinga atakaye amini kuwa mke wake hagegedwi huko njeKumbe mnajua mkizingua huwa tunazingua pia kimya kimya
Am watching youHahaha, mkuu najaribu kucheza safe tu mzee. Ndio maana nasema nikimtokea mtu namwambia live NINA MKE! akinikataa hewala sasa nifanyeje...
Mwanamke kushindana na mwanaume kuchepuka huyo mwanamke ni mjinga kupitilizaaaUsichukue ushauri wa huyu mwamba utavunja ndoa yako mapema sana.
Usichepuk, usiwaze kuchepuka wala usijaribu kuchepuka hata kidogo. Utaua ndoa yako mapema sana na inaonekana wewe si mzoefu wa hizo mambo utadakwa na mara nyingi wanaume uvumilivu ni F utaachwa siku hiyo hiyo.
Kitu naweza kukushauri acha kumfuatilia mumeo presha itakuua mapema focus kwenye utafutaji uwe na hela ili uje umlee vizuri mtoto wakoUshauri wenu jamani mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu. Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi, Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
Hapa kuna kachumvi kametiwa. Huyu mwamba ametoka kuficha simu kabatini mpaka kuiacha mezani bila password? Au ni kitochi? Kama ni kitochi afadhali umwache aendelee tu. Wewe anxa mipango ya miaka 2 mbele na kuendelea. Usiwaze tena kuhusu huyo mtu. Mwambie akitaka ahamie huko kabisa. Lakini wewe baki na mali alizonazo kama nyumba.Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2
Duh! Balaaa sasa hili.Michepuko hawapiti dada
Uongo wa kuumizana huu.. tena hamna mtu mbaya Kama mwanamke AkitaMbua huyo bwana ni mume wa mtu..
Siku hizi wanaloga.. Yaani huyo mwanaume anaenda kuzama kwa mchepuko mzima mzima.
Mnaishi wapi kwa sasa?Na miaka 28 nina miaka naye mi 5 kabla ya ndoa na alikuwa hayupo hivi mpaka nawaza au kalogwa mbona ghafla wanawake wote hao alafu Bora ingekuwa hata ana muda nao nilivyongea nao wawili kawatongoza mwezi wa 12 mmoja ndo toka mwezi wa 11 yani kinachonishangaza kwanini wote iwe ghafla ndani ya mwezi mmoja
Wengi wa tunaokushauri humu tukiwemo waume kwa wake tuna NDIZI zetu, kwa hiyo hakuna kuwindana sana na mume wako. Pili hata yeye unavyolalamika humu jf anasoma ujumbe wako pia maana na yeye ni member wa jf. Namfahamu vizuri.Na hichi ndokinachoniuma zaidi maana yake amefanya makusudi angekuwa mmoja ningesema bahati mbaya Ila 3 duh! Ndomana naona aibu kushirikisha ndugu naona Kama ntakuwa najivua nguo