Ndoa inaelekea kunishinda

Ndoa inaelekea kunishinda

Kuna njia mbili tu. Kuamua kuiacha ndoa au kuendelea kuvumilia na kuacha kumfatilia mpaka hapo mwenyewe nafsi itakapo msuta. Ukiamua kuvumilia unatakiwa uwe na roho ngumu. Uende kumpa heshima yake kama mume na huduma zote bila kujali ambacho unakijua kuwa anakusaliti. Ukifanikiwa hilo ndoa utakua umeiweza na yeye mwenyewe atajishtukia hata akiwa anakucheat kamwe hutojua na hata ukija kuambiwa wewe mwenyewe ndio utakataa.
Vipi kuhusu magonjwa?
 
Nimesoma comment za watu humu, wengi wanatamba kwakujiona ni manguli wa mapenzi.

Visanga vya mapenzi vikukute kwa mtu ambae haukuwa unampenda hapo unaweza kutamba vyovyote vile, ikitokea vimekukuta kwa mtu unaempenda na kumuamini kwa moyo wote aiseeeh maumivu yake huwa hayana mfano.


Mapenzi ni janga jingine linaloharibu kabisa maisha ya watu, asilimia 80 ya matatizo ya binadamu chanzo ni mapenzi either mwanaume au mwanamke.
Yaani hujakosea kwa mtu uliyempenda na kumwamini inauma sana, labda kama wanapotezeana muda na kusogezana siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Possibility ya kukuletea magonjwa ni kubwa, maana kama hajari afya yake hapo uko motoni.

Ukweli unauma lakini ni bora usemwe, ni bora kumuepuka kumbuka akikuletea shida au ugonjwa ni hasara yako na ndugu zako.

Wapo wanao sema, usifuatilie ukae tu duh! Yaani akuletee magonjwa halafu nini kifuate?

Chukua hatua sasa.

Remember: " Akili za kuambiwa , changanya na zako"
 
Possibility ya kukuletea magonjwa ni kubwa, maana kama hajari afya yake hapo uko motoni.

Ukweli unauma lakini ni bora usemwe, ni bora kumuepuka kumbuka akikuletea shida au ugonjwa ni hasara yako na ndugu zako.

Wapo wanao sema, usifuatilie ukae tu duh! Yaani akuletee magonjwa halafu nini kifuate?

Chukua hatua sasa.

Remember: " Akili za kuambiwa , changanya na zako"
Hiyo sentensi uliyomaliza nayo ndio yenyewe sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom