Inauma sana halafu mnaishi mwaka na maradhi juu halafu mnaanza kumlaumu MUNGU haipendezi kabisakabisaa au anamheshimu mkewee!maana wengine ndo kama hao michepuko mi3 yotee na mkewe anajua na hapo ndo hatajali ataonesha live live sasa hivi
Wee kuna wazazi na wazazi ni afadhali hata huko alikofungia ndoa! Wazazi wengine hovyo sana bora nilie ndani siku 2 kisha niendelee na maisha yanguPole sana, tuliza akili na kumwomba Mungu akufariji. Usifanye maamuzi yatakayokuumiza kipindi hiki cha ujauzito.
Pia unaweza kuongea na wazazi wake wakusaidie kuzungumza nae.
Rey hawezi kunipaka mafuta kwa mgongo wa chupa. That's one!Nimecheka kwa sababu mchana kuna uzi fulani umewakebehi wacha Mungu...umesema huwaamini WANAOJIFANYA wacha Mungu ila hapa naona rafiki yangu Relief Mirzska unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Pole dadaUshauri wenu jamani mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu. Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi, Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
Kwa hiyo anafanyajeRey hawezi kunipaka mafuta kwa mgongo wa chupa. That's one!
Pili mimi simo katika wacha mungu kabisaaaa
Tatu wewe ndio ulininyima namba ya Heaven Sent (limekujaje?? Sijui) hahahaahahahahau
Ndiyo huyo huyo wawote labda ulikuwa hujui tuMimi baba yangu ni tofauti na wa NYEKUNDU YA BIBI
Umesema nitume namba ya wakala?Rey hawezi kunipaka mafuta kwa mgongo wa chupa. That's one!
Pili mimi simo katika wacha mungu kabisaaaa
Tatu wewe ndio ulininyima namba ya Heaven Sent (limekujaje?? Sijui) hahahaahahahahau
Kwa hiyo anafanyaje
Wewe ushindwe kuomba namba kwa mhusika uje kuomba kwangu khaaa...mimi mwenyewe sina kwanza
Nimesikia hivyo pia, halafu kasema tugawaneUmesema nitume namba ya wakala?
Mawazo yao wanajua baraka zinatoka kwa mama mzazi tuu wanamsahau mke, wanakosea sana sana.Si ndo hapo??? Muwaambie ukweli jamani mnatu confuse huku.. af kumliza liza mkeo kisa wanawake wa nje ambao ungeweza kuwa control wala hupati baraka..
Kwa misingi ipi?Nimesikia hivyo pia, halafu kasema tugawane
Kwa misingi kwamba mimi ndio nitampa nambaKwa misingi ipi?
Na hata akiwa nao lakini sio kwa kumringishia mkewe, maana mke naye ana moyo ati, hivi unajua mwanamke akichoka na akisema basi kimrudisha huwa ni ngumu sana! Unaweza itisha vikao vya ukoo mzima na akakugomeaMwanaume lazima awe na wanawake zaidi ya 6.. hilo ndio dume la mbegu
Kwa misingi kwamba mimi ndio nitampa namba
Watano tu unalalamika je ungekuta 8 au 10,pole ndio mapenzi hayoUshauri wenu jamani mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu. Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi, Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
EtiNami naomba kweli Mungu akutie nguvu, mimi kabla sijaoa ningekupa pole, lakini kwa sasa nakupa pongezi .
Kwanza mume wako ni mwanaume hasa! HASA.
Pili wewe unathamani kwake na ndio maana mpaka sasa yupo na wewe vinginevyo ingekua yupo na mmojawapo wa hao.
Tatu hata hayo maandiko tunayo ya rejea unakuta huko kuna vifungu vinavyoonyesha mwanaume fulani alikua na wake zaidi ya mmoja, rejea kwa yakobo, alikuwa na wake rasmi wawili na alizaa na wake wawili wasio rasmi na hao watoto waliotokana na wake hao wanne ndio taifa teule la Mungu huyo huyo unae enda kumshirikisha mchungaji.
Nguvu zilizo ndani yetu za ngono hazistahimiliki kwa mwanamke mmoja nyakati zote, yaani maisha yote ya mwanaume awe na mwanamke mmoja hio haipo hata huyo mchungaji anajua, nakwambia anajua ila uchungaji ndio umemsitiri
Kwenu wanawake sio tu kwamba mnaweza kuwa na mwanaume mmoja tu bali mnaweza kutokua na mwanaume na maisha yakaenda.
Badilisha fikra ,lea ndoa yako , lea ujauzito wako ,lea mume wako.
Pole lakini.
Nami naomba kweli Mungu akutie nguvu, mimi kabla sijaoa ningekupa pole, lakini kwa sasa nakupa pongezi .
Kwanza mume wako ni mwanaume hasa! HASA.
Pili wewe unathamani kwake na ndio maana mpaka sasa yupo na wewe vinginevyo ingekua yupo na mmojawapo wa hao.
Tatu hata hayo maandiko tunayo ya rejea unakuta huko kuna vifungu vinavyoonyesha mwanaume fulani alikua na wake zaidi ya mmoja, rejea kwa yakobo, alikuwa na wake rasmi wawili na alizaa na wake wawili wasio rasmi na hao watoto waliotokana na wake hao wanne ndio taifa teule la Mungu huyo huyo unae enda kumshirikisha mchungaji.
Nguvu zilizo ndani yetu za ngono hazistahimiliki kwa mwanamke mmoja nyakati zote, yaani maisha yote ya mwanaume awe na mwanamke mmoja hio haipo hata huyo mchungaji anajua, nakwambia anajua ila uchungaji ndio umemsitiri
Kwenu wanawake sio tu kwamba mnaweza kuwa na mwanaume mmoja tu bali mnaweza kutokua na mwanaume na maisha yakaenda.
Badilisha fikra ,lea ndoa yako , lea ujauzito wako ,lea mume wako.
Pole lakini.