Ndoa inaelekea kunishinda

Kuna utata mkubwa ktk hii nukuu
 
Pole sana, tuliza akili na kumwomba Mungu akufariji. Usifanye maamuzi yatakayokuumiza kipindi hiki cha ujauzito.

Pia unaweza kuongea na wazazi wake wakusaidie kuzungumza nae.
 
Sawa tutaacha, ila muwe mnawaambia kabisa wasiwe wanawatumia message mkirudi nyumbani no calls or text.. nyie mnawapa uhuuuru kama nini sijui
Kwa kweli vijana wanakosea sana. Sema nini?? Sometimes za mwizi arobaini tu.

Ila sometimes ukipata mtu muelewa inakuwa sawa kabisa
 
Si ndo hapo??? Muwaambie ukweli jamani mnatu confuse huku.. af kumliza liza mkeo kisa wanawake wa nje ambao ungeweza kuwa control wala hupati baraka..
I agree with you.

Baraka za mke zinaweza fanya ukafanikiwa sana. Aisee namshkuru Mungu mimi ninebarikiwa sana
 
Mmmhhhhh wewe dada wewe duh
 
Una hofu na Mungu ukimpata mwanaume mwenye hofu na Mungu maisha yanasonga Sana'a!!!
Yaani aminini tu kwamba we are trying really hard.

Hususan sasa wengine kama mimi, changamoto ni nyingi sana. Maofisini, majiani huko wadada wanajilengesha yaani nyie acheni tu.

Tunayoyapitia kwa kweli mtuombee tu jamani
 
Yatapita tu hayo, vumilia..
 
If you don't know you don't know
 
Mmmhhhhh wewe dada wewe duh
Ni kumwambia ukweli tu hamna kumung'unyamung'unya na kumdanganya. Yeye aliziona hizo tabia na kufungua uzi kabisa kuwa jamaa anachiti mpaka analeta ndani. Sasa akaamua kuingia humo. Raha ya ngoma uingie ucheze!. Love is a game, kaamua kuingia kwenye game acheze tu mpaka dakika ya 90 "No retreat No Surrender" . Wasitese kiumbe cha watu tu kisicho na hatia. Man Ho huwa hawaachi, wanapumzikaga tu kitambo kisha wanaanza tena.
 
Tulia ndugu.
Acha hasira, acha papara.
Ndoa sasa hapo ndio imeanza rasmi, pale mwanzoni mlikuwa mnajidanganya kwenye kivuli cha unafiki tu.
Simama pamoja na muwe wako, linda ndoa yako, usimuache kamwe mumeo, mpende zaidi ya mwanzo. Pambana kadri unavyoweza kuitimua hiyo michepuko lakini kamwe usimuache mumeo.

Kama hujui tu, hiyo tabia ya kuchepuka mumeo hakuanza leo wala jana, wewe umeijua leo, lakini mumeo amekuwa nayo hata kabla hajafunga ndoa na wewe, katikati ya yote hayo bado alikuona wewe ndio best girl wa kuolewa naye, hivyo wewe ni mshindi kwa 100%.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…