Umemalizia vizuri kweli. Yeye wala aaijipe presha atulizane tuu. Mwanaume kula mbususu moja labda kama hana hela🤣🤣🤣🤣🤣🤣Usikate tamaa,vumilia tu,Usiondoke pambana na ndoa yako,hao michepuko wanapita tu
Hiyo ndiyo hulka ya mumeo kwahiyo ipotezee usimfuatilie ukimfuatilia utazidi kuumia kila kukicha,kikubwa asikuletee malazi tu.
Hakuna haja ya kushtaki kwa mchungaji
Wanasema ndoa kuvumilia,kwahiyo vumilia.
Wanaume na michepuko kama chura na maji.
Ila hili neno. Yaani kama umeoa ni lazima mchwpeko aambiwe kiwa hapa tupoo kibutidani na wala mke simuachi.Basi na nyie kaka zetu muwe mnachepuka kisirisiri kwani lazima hadi tujue jamani.. usaliti unauma sana sana.. muwaambie ukweli michepuko yenu muwekeane mipaka msijiachie sana
Hebu kaa kimya. Kwani utapunguwa wapi??Mwanaume kama huyo sijui anaoa ili iweje
Umemalizia vizuri kweli. Yeye wala aaijipe presha atulizane tuu. Mwanaume kula mbususu moja labda kama hana hela
Some of you hahahahaahahMtu hupati picha wife katoka huko alikotoka umeacha simu kizembe..nae kujifanya anajua ufukunyuku akaishika ili asome text...dadeq! Asipopata kiharusi sijui😂😂😂 some of us flirt sio poa yani!
Wewe ukikaa kimya unapunguaHebu kaa kimya. Kwani utapunguwa wapi??
khaaaa
AhhahahahahaahahahahhaahAlafu wamenipenda hutoamini wenyewe tu wameingiwa na huruma na wamemsema Kama nini maana text zao naziona mmoja ndoalimdanganya anapeleka mahari kwao amuoe alikuwa na bwana ake akamuacha kisa huyu baada ya kumpigia naye alihisi kudata maana alisema hadi kwao kuwa kapata mchumba huyu ndompaka alilazwa kwa stress karusiwa juzi hapa ndoanamtishia anaenda kumloga ni mbulu yangu macho walogane tu vurugu ziishe
Umwambie ukweli mtu kama Khantwe ili akwambie mimi sitaki mume wa mtu???Jamaa kazingua sana, unachepuka then unadanganya upo single? Mwambie mtu ukweli aamue mwenyewe...
Haya mambo usimwambie kabisa KhantweAs long as mumeo anakujali na anakupa mahitaji yote ya msingi, vumilia na kazi iendelee!
Hata ukivunja ndoa na ukaolewa na mwanaume mwingine naye atakuwa na michepuko tu mana wanaume tumeumbwa hivyo. Mwanaume anayetosheka na mwanamke mmoja ni masikini asiyekuwa na pesa za kuhudumia wanawake wengi, mwenye afya mgogoro na mwenye upungufu wa nguvu za kiume.
Mimi baba yangu ni tofauti na wa NYEKUNDU YA BIBIWanaume wote Baba yao mmoja
Tatizo na nyie mnawafuatilia sana hao kaka zenu.Basi na nyie kaka zetu muwe mnachepuka kisirisiri kwani lazima hadi tujue jamani.. usaliti unauma sana sana.. muwaambie ukweli michepuko yenu muwekeane mipaka msijiachie sana
TulimuambiaKabla ya kuolewa uliziona dalili zoooteee lakini ukapuuzia na kulazimisha ndoa
Msaada: Nipo njia panda juu ya mahusiano yangu
Habari zenu wapendwa? Poleni na majukumu, naombeni ushauri wenu katika hili maana hata sielewi nini cha kufanya Nina mpenz Wang nmeishi naye kwa miaka 4 sasa na mwezi wa 2 mwaka huu amepanga kupeleka mahari kwetu ili tufunge ndoa na nyumbani nimeshawapa taarifa kuwa kutakuwa na ugeni. Cha...www.jamiiforums.com
ukahamaishia hasira zako kwa mama mkwe
Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga
Habari zenu wapendwa? Mwenzenu na matatizo sielewi nichukue uamuzi gani naombeni mnishauri wapendwa, nilianza mahusiano na mkaka wa kimakuwa toka 2016 kiukweli ananipenda sana na Mimi nampenda na Mungu ametujalia mwaka Jana mwezi wa 12 kapeleka mahari kwetu akanivalisha na Pete ya uchumba...www.jamiiforums.com
Pambana tu na hali yako mkuu. Bado waliochangia sherehe yenu hawajasahau maumivu ya pesa zao
Haki ya Mungu??mimi hata ukinidanganya nagundua tu, nilishakamata watu kibao
Punguza sautiHaki ya mungu??
Sawa tutaacha, ila muwe mnawaambia kabisa wasiwe wanawatumia message mkirudi nyumbani no calls or text.. nyie mnawapa uhuuuru kama nini sijuiTatizo na nyie mnawafuatilia sana hao kaka zenu.
Mnasubiri mtu kalala mnachokonoa simu
Si ndo hapo??? Muwaambie ukweli jamani mnatu confuse huku.. af kumliza liza mkeo kisa wanawake wa nje ambao ungeweza kuwa control wala hupati baraka..Ila hili neno. Yaani kama umeoa ni lazima mchwpeko aambiwe kiwa hapa tupoo kibutidani na wala mke simuachi.
Tena wanawake wa siku hizi mbona wanakubali tuu cha muhimu uwe na ndalamaa