Mwenzako alikutwa na KY sasa haijulikani anawapakaa au anapakwa yeye! Ila mke yupo ktk uchunguzi na ndio kwanza kamzidishia mahaba..nahisi ni mtego
Unapoamua kuoa maana yake maisha ya u bachela unawaachia wengine, matatizo mengine ni ya kujitakia mkuu. Hauwezi shindana na mwanamke hata siku moja, unampa mazingira ya kumfanya nayo aote kengere utayeteseka ni wewe siku za usoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.