Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,444
- 62,789
Mkuu mbona furaha nyingi?😂😂😂😂
Kwa nini mkuu?Unaota ndoto za abunuwas Equation x
Hahaha Abunuwasi fal* sana.Unaota ndoto za abunuwas Equation x
Chaga zitakuwa zinaumia sanaLazima iwe ndani ya mjengo mkubwa? Mkiwa ndani ya chumba kimoja hamuinjoi?
ha ha ha haNaona unajinadi mgombea.
Hebu fafanuaChaga zitakuwa zinaumia sana
halafu pia chabo zitakuwa nyingi, uhuru unakuwa mdogoHebu fafanua
Chapo ni nini?halafu pia chapo zitakuwa nyingi, uhuru unakuwa mdogo
Chabo mkuuChapo ni nini?
Tafuta x, ndio umri wangu mkuuUna umri gani mtoa mada
Kweli KakaMkiwa mnaishi wenyewe bado kupata watoto, ndani ya mjengo mkubwa ni raha sana. Alafu uwe na mzigo wa maana, unaweza kuiona dunia yote ni ya kwako. Tunasema hapo maisha ni full shangwe, hakuna kuchelewa kufika nyumbani, muda wote unatamani muwe wawili tu kwenye eneo lenu la kujidai.
Vijana tuoeni jamani, lakini pia tuoe tukiwa tumeshajipanga ili tufurahie mema ya dunia.
Safi sana, mkiamua kukaa kama kumbikumbi wasio na mabawa ni nyie wenyewe tuKweli Kaka
Miwenyewee nimejiopolea kamanda wangu wakike mrembo na nyumba tumejenga master nzuri
Afu tuko wenyewee tuu ndani kila kitu dah achaaaa.Yaan niku chinja kuku kila weekend na Kula wenyeweee na kulanaaa
Rahaaaa kandoa kenyewee kana miaka 3 tuu dah
Tuoee vijanaaa warembo wazuri wenye future na mipango ya pesaa.
Sio ukurupue ta...k..o na Sura mipango F.
Utajutaa kijanaaaa
Safi sana, mkiamua kukaa kama kumbikumbi wasio na mabawa ni nyie wenyewe tu
nasubiri jibuTafuta x, ndio umri wangu mkuu
y=3x[SUP]3[/SUP] + 5
5x=4y[SUP]2[/SUP]- 3