Ndoa humuongezea mtu heshima na kuaminika katika jamii yeyote

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,781
41,146
Muasisi wa ndoa kwa binadamu ni Mungu.

Alipowaunganisha Adam na Hawa katiba bustani ya edeni.

Familia ni msingi wa Taifa lolote kwani kukiwa na familia imara ni rahisi kuwa na jamii imara,dini imara na taifa imara.

Familia ni taasisi nyeti na muhimu mno.

Kwakua taasisi hii nyeti ni muhimu sana kwa msingi wa jamii,dini na taifa hivyo viongozi wake ambao ni wazazi huwa na umuhimu huo pia.

Ni rahisi sana kwa baba au mama kuaminika katika jamii yake au dini yake kwakua ana jukumu tayari ambalo ni msingi wa taasisi nyingine.

Ni rahisi kwa aliyeoa au kuolewa kupewa nafasi ya uongozi popote au kupewa jukumu zito popote kuliko yule asiyekuwa na ndoa.

Maamuzi ya mwenye ndoa na asiyekuwa na ndoa kuhusiana na maswala kadhaa ya kidini na kijamii ni tofauti sana.

Mwenye ndoa anakua amepevuka zaidi kifikra na kimtazamo katika maswala ya kijamii kuliko yule asiyekuwa na ndoa.

Kwakua maamuzi ya mwenye ndoa yanakuwa yaliyopevuka zaidi ya yule asiyekuwa na ndoa basi mhusika hupewa zaidi kipaumbele.

Ndoa ni mpango wa Mungu kwa wanadamu ila ni jambo la kusikitisha mno kuona namna shetani anavyotaka kuuuharibu kwa kuwahamasisha vijana wasioe.

Kijana ukitaka kuaminika na kupata heshima unayostahili.

OA.

Usipooa hakuna mtu mwenye akili timamu atayekupa jukumu lolote kubwa.
 
Muasisi wa ndoa kwa binadamu ni Mungu.

Alipowaunganisha Adam na Hawa katiba bustani ya edeni.

Familia ni msingi wa Taifa lolote kwani kukiwa na familia imara ni rahisi kuwa na jamii imara,dini imara na taifa imara.

Familia ni taasisi nyeti na muhimu mno.

Kwakua taasisi hii nyeti ni muhimu sana kwa msingi wa jamii,dini na taifa hivyo viongozi wake ambao ni wazazi huwa na umuhimu huo pia.

Ni rahisi sana kwa baba au mama kuaminika katika jamii yake au dini yake kwakua ana jukumu tayari ambalo ni msingi wa taasisi nyingine.

Ni rahisi kwa aliyeoa au kuolewa kupewa nafasi ya uongozi popote au kupewa jukumu zito popote kuliko yule asiyekuwa na ndoa.

Maamuzi ya mwenye ndoa na asiyekuwa na ndoa kuhusiana na maswala kadhaa ya kidini na kijamii ni tofauti sana.

Mwenye ndoa anakua amepevuka zaidi kifikra na kimtazamo katika maswala ya kijamii kuliko yule asiyekuwa na ndoa.

Kwakua maamuzi ya mwenye ndoa yanakuwa yaliyopevuka zaidi ya yule asiyekuwa na ndoa basi mhusika hupewa zaidi kipaumbele.

Ndoa ni mpango wa Mungu kwa wanadamu ila ni jambo la kusikitisha mno kuona namna shetani anavyotaka kuuuharibu kwa kuwahamasisha vijana wasioe.

Kijana ukitaka kuaminika na kupata heshima unayostahili.

OA.

Usipooa hakuna mtu mwenye akili timamu atayekupa jukumu lolote kubwa.
UNAJUA TOFAUTI KATI YA NDOA ZA KIROHO NA ZA WASHENGA?
 
Muasisi wa ndoa kwa binadamu ni Mungu.

Alipowaunganisha Adam na Hawa katiba bustani ya edeni.

Familia ni msingi wa Taifa lolote kwani kukiwa na familia imara ni rahisi kuwa na jamii imara,dini imara na taifa imara.

Familia ni taasisi nyeti na muhimu mno.

Kwakua taasisi hii nyeti ni muhimu sana kwa msingi wa jamii,dini na taifa hivyo viongozi wake ambao ni wazazi huwa na umuhimu huo pia.

Ni rahisi sana kwa baba au mama kuaminika katika jamii yake au dini yake kwakua ana jukumu tayari ambalo ni msingi wa taasisi nyingine.

Ni rahisi kwa aliyeoa au kuolewa kupewa nafasi ya uongozi popote au kupewa jukumu zito popote kuliko yule asiyekuwa na ndoa.

Maamuzi ya mwenye ndoa na asiyekuwa na ndoa kuhusiana na maswala kadhaa ya kidini na kijamii ni tofauti sana.

Mwenye ndoa anakua amepevuka zaidi kifikra na kimtazamo katika maswala ya kijamii kuliko yule asiyekuwa na ndoa.

Kwakua maamuzi ya mwenye ndoa yanakuwa yaliyopevuka zaidi ya yule asiyekuwa na ndoa basi mhusika hupewa zaidi kipaumbele.

Ndoa ni mpango wa Mungu kwa wanadamu ila ni jambo la kusikitisha mno kuona namna shetani anavyotaka kuuuharibu kwa kuwahamasisha vijana wasioe.

Kijana ukitaka kuaminika na kupata heshima unayostahili.

OA.

Usipooa hakuna mtu mwenye akili timamu atayekupa jukumu lolote kubwa.
Bora usiheshimike lkn ukaishi maisha ya amani.
Ni upumbavu wa kiwango cha juu kutafuta heshima palipo na mateso.
 
Nakazia Ndoa Ni Muhimu Sana Vijana Oeni Mfurahie Maisha Mpate Heshima
Tafuta pesa kama unataka heshima, ndoa inakupa heshima gani kama ni kapuku? Utaishia kudharaulika na mke wako na mwanzo wa kugongewa, na kupata depression, especially kwa hizihizi takataka za kizazi hiki (wanawake) walioendekeza tamaa na kukosa uvumilivu, kutaka maisha mazuri kwa mda mfupi, KATAA NDOA EWE KIJANA MASKINI
 
Back
Top Bottom