Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,781
- 41,146
Muasisi wa ndoa kwa binadamu ni Mungu.
Alipowaunganisha Adam na Hawa katiba bustani ya edeni.
Familia ni msingi wa Taifa lolote kwani kukiwa na familia imara ni rahisi kuwa na jamii imara,dini imara na taifa imara.
Familia ni taasisi nyeti na muhimu mno.
Kwakua taasisi hii nyeti ni muhimu sana kwa msingi wa jamii,dini na taifa hivyo viongozi wake ambao ni wazazi huwa na umuhimu huo pia.
Ni rahisi sana kwa baba au mama kuaminika katika jamii yake au dini yake kwakua ana jukumu tayari ambalo ni msingi wa taasisi nyingine.
Ni rahisi kwa aliyeoa au kuolewa kupewa nafasi ya uongozi popote au kupewa jukumu zito popote kuliko yule asiyekuwa na ndoa.
Maamuzi ya mwenye ndoa na asiyekuwa na ndoa kuhusiana na maswala kadhaa ya kidini na kijamii ni tofauti sana.
Mwenye ndoa anakua amepevuka zaidi kifikra na kimtazamo katika maswala ya kijamii kuliko yule asiyekuwa na ndoa.
Kwakua maamuzi ya mwenye ndoa yanakuwa yaliyopevuka zaidi ya yule asiyekuwa na ndoa basi mhusika hupewa zaidi kipaumbele.
Ndoa ni mpango wa Mungu kwa wanadamu ila ni jambo la kusikitisha mno kuona namna shetani anavyotaka kuuuharibu kwa kuwahamasisha vijana wasioe.
Kijana ukitaka kuaminika na kupata heshima unayostahili.
OA.
Usipooa hakuna mtu mwenye akili timamu atayekupa jukumu lolote kubwa.
Alipowaunganisha Adam na Hawa katiba bustani ya edeni.
Familia ni msingi wa Taifa lolote kwani kukiwa na familia imara ni rahisi kuwa na jamii imara,dini imara na taifa imara.
Familia ni taasisi nyeti na muhimu mno.
Kwakua taasisi hii nyeti ni muhimu sana kwa msingi wa jamii,dini na taifa hivyo viongozi wake ambao ni wazazi huwa na umuhimu huo pia.
Ni rahisi sana kwa baba au mama kuaminika katika jamii yake au dini yake kwakua ana jukumu tayari ambalo ni msingi wa taasisi nyingine.
Ni rahisi kwa aliyeoa au kuolewa kupewa nafasi ya uongozi popote au kupewa jukumu zito popote kuliko yule asiyekuwa na ndoa.
Maamuzi ya mwenye ndoa na asiyekuwa na ndoa kuhusiana na maswala kadhaa ya kidini na kijamii ni tofauti sana.
Mwenye ndoa anakua amepevuka zaidi kifikra na kimtazamo katika maswala ya kijamii kuliko yule asiyekuwa na ndoa.
Kwakua maamuzi ya mwenye ndoa yanakuwa yaliyopevuka zaidi ya yule asiyekuwa na ndoa basi mhusika hupewa zaidi kipaumbele.
Ndoa ni mpango wa Mungu kwa wanadamu ila ni jambo la kusikitisha mno kuona namna shetani anavyotaka kuuuharibu kwa kuwahamasisha vijana wasioe.
Kijana ukitaka kuaminika na kupata heshima unayostahili.
OA.
Usipooa hakuna mtu mwenye akili timamu atayekupa jukumu lolote kubwa.