Ndoa bila Tendo......Msaada

Ndoa bila Tendo......Msaada

Wapenzi salaam,
Nina mkasa, au jambo ambalo linamsumbua dada yangu kwa kiasi kikubwa sana,nimeshare nanyi kwa kuwa najua kwenye wengi hakukosekani busara na majibu ya maswali magumu.

Nina dada yangu mumewe anashindwa kumpa unyumba kwa miaka sita sasa, hata akijitahidi kukutana na mkewe anaishia njiani,yaani katikati inasinyaa, hii inatokana na nini, dada yangu kajaribu kila kitu hadi sasa anataka kuchukuwa maamuzi mazito, maana hamwoni muwewe kama anasumbuka na hilo kabisa,akimwongelesha hilo anakuwa mkali, na kukumbushia maugomvi ya zamani ili tu dada ajisikie vibaya.

Mimi kaka mimi nimemshauri kama aliweza kukaa miaka yote sita asiachane na mumewe, kwani ana watoto nae nahisi watapata taabu kisaikolojia, dada yangu anampenda sana mumewe, coz hata akijaribu kucheat huwa hasikii raha wala nn,anamwazia mumewe tu,mwishowe anamwacha mpenzi na kurudi home kujituliza, hali hii imemfanya akose raha kabisa,japo kila kitu kiko fresh kimaisha,ukimwona akiwa na mumewe utadhani anafuraha hakuna dosari,ila muda mwingi ,ushauri wenu unaombwa.naomba wenye uzoefu na hata waliowahi kukubwa na tatizo hili wasaidie kutoa ushauri,pia wanaume ambao waliwahi kupatwa na tatizo hili mtoe ushauri tumsaidie mwenzetu.
Mkuu.@SaraMMpe pole sana huyo dada yako kwa kuwa mume wake ndizi inasinyaa na kwanini haendi Hospiatli kujiangalia ana matatizo gani?

huenda ana Upungufu wa nguvu za kiume au ana matatizo ya Upungufu wa (testosterone hormone) Mwambie huyo Dada yako ampikie mume wake supu ya Pweza iliyotiwa Pilipili kali ya unga au awe anampikia samaki wa Papa au

anywe Asali iliyotiwa Mdalasini na pamoja tango moja kila siku itamsaidia huyo mume wake kurudisha heshima au anione mimi nina dawa za kurudisha Heshima ndani ya ndoa anitumie baruwa Email Address yangu hii hapa (fewgoodman@hotmail.com)

Pole kwa dada yako lakini hii hoja ngoja nimpelekee waziri mtarajiwa MziziMkavu aje akupe jibu sahihi juu ya hili. Kwa haraka haraka tu, inawezekana huyu jamaa anampenda dada yako ila hataki kumuangamiza, kwani kuna uwezekano mkubwa huyu jamaa akawa ana kitu/ugonjwa anamficha dada yako.
Mkuu Mkereketwa_Huyu Nimesha mjibu huyo bibie SaraM itabidi atembelee hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html
 
Last edited by a moderator:
Miaka Sita ni mingi hasa! Mi nakushauri, msaidie dada yako ili umjue huyo shemeji yako Kama Ana tatizo la saikolojia ama la! Maana unaweza kuta mashine ya dada yako imezidiwa utamu na mashine za nje! Tafuta msichana mrembo hasa halafu umtege shemeji yako! Akiingia laini, hakikisha anapewa blow-job ya ukweli halafu apewe mzigo! Ikisinyaa huyo Jamaa akatibiwe kwa kupewa dawa! Akipiga mzigo vizuri mwambie dada yako ajipange na waende kwa mtaalamu Wa saikolojia maana inawezekana dada hawezi kusisimua mumewe!
 
Ama amwone dk mgaya pale mbuyuni karibu na st peter nzee mmoja mstaarabu sana Mungu amempa kumuongoiza kutatua matatzo mengi ya uzazi
 
Stress nalo n tatzo kuubwa sana mkubwa m ilishantokea ila dk akanishauri kuna mambomengi makazini akijumlisha na ya nyumban anakosa pa kutokea;;binafsi niliomba likizo na mpe pole inaitaji hekima kwa mwanamke kuvumilia hili ila nbahs amekaa sana kumshugulikia ikiwamo wewe ulieleta mada najiuliza kama yuko open na wewe miaka yote hii ulikuwa wapi ama dada alikuwa anaona raha kupiga tarumbeta isiyotoa sauti;;nasema hivi mtangulizen MUNGU KWA HILI SI MAPENZI YA MUNGU KUOANA WAKAISHI DADA NA KAKA MUNGU AWAPE NGUVUKWA HILI MMALIZE SALAMA
 
Mkuu.@SaraMMpe pole sana huyo dada yako kwa kuwa mume wake ndizi inasinyaa na kwanini haendi Hospiatli kujiangalia ana matatizo gani?

huenda ana Upungufu wa nguvu za kiume au ana matatizo ya Upungufu wa (testosterone hormone) Mwambie huyo Dada yako ampikie mume wake supu ya Pweza iliyotiwa Pilipili kali ya unga au awe anampikia samaki wa Papa au

anywe Asali iliyotiwa Mdalasini na pamoja tango moja kila siku itamsaidia huyo mume wake kurudisha heshima au anione mimi nina dawa za kurudisha Heshima ndani ya ndoa anitumie baruwa Email Address yangu hii hapa (fewgoodman@hotmail.com)

Mkuu Mkereketwa_Huyu Nimesha mjibu huyo bibie SaraM itabidi atembelee hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/196934-dawa-za-nguvu-za-kiume-kwa-anayetaka.html



Ah kumbe, sawa basi mheshimiwa waziri mtarajiwa MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Never give up i wish him a quick recover god knows god is great, but i do insist that he goes at hospital to get treatment and also to pray
 
Miaka Sita ni mingi hasa! Mi nakushauri, msaidie dada yako ili umjue huyo shemeji yako Kama Ana tatizo la saikolojia ama la! Maana unaweza kuta mashine ya dada yako imezidiwa utamu na mashine za nje! Tafuta msichana mrembo hasa halafu umtege shemeji yako! Akiingia laini, hakikisha anapewa blow-job ya ukweli halafu apewe mzigo! Ikisinyaa huyo Jamaa akatibiwe kwa kupewa dawa! Akipiga mzigo vizuri mwambie dada yako ajipange na waende kwa mtaalamu Wa saikolojia maana inawezekana dada hawezi kusisimua mumewe!

Kwa kweli umenena la maana, mimi nina ndg yangu yeye na miaka 4 bila kufanya na mke, sababu tu akiwa na mke Jogoo hapandi mtungi, japo nje anapiga machine hadi zinaimba, kuna kipindi akidhani nyumba ndogo imemfanyia madawa asiweze kwa mke, ikawa siyo, maana alimuacha huyo binti na kuanza maisha mapya na rafiki mwingine wa kike, maisha yakawa hivyo hivyo, nyumbani hawezi nje anaweza tena vizuri sana.
Ninachojifunza kwa wanawake wakishaolewa hawana jitihada za kumfanya mme ajisikie kufanya tendo la ndoa, zaidi ya jitihada binafsi za mwanaume, mwanamke hata kugusa dushelele ya mme wake hataki.
Pia wanawake ikifika mda wa kutimiza ndoa ndo wanaanza kuongelea matatizo na migogoro ya familia hadi stimu kwa mwanaume zinahama, angalia kabla na mwanzo wa ndoa, ilikuwa tofauti kabisa, mda wa kufanya ni kufanya tu na mda wa kujadili mambo ya familia yanakuwa na mda wake.

Nashauri hata wanawake hasa walio ktk ndoa wabadilike ili kuchochea waume zao kuweza ku perform zaidi ya kisubiri kulaumu.
 
Miaka sita ni mingi mno. Mpe pole dada. Nivema akashauriana na mmewe akienda kwenye tiba yoyote waende pamoja ili wapewe masharti kwa pamoja.


Najiuliza kama tatizo hili angekuwa nalo mwanamke mwanaume angeweza kuvumilia kwa kipindi chote hiki?
 
Kitaalam hiyo inaitwa sexual performance anxiety in men.Inawasumbua wanaume wengi lakini hawasemi in public...mimi ni mmojawapo ambao huwa ishanipataga...niliamini ni physiological tu sababu ilikuwa ikinitokea kwa mke wangu tu,..nikitoka nje ya ndoa yaani mashine inapiga mzigo mpaka nashangaa! bao 5 au 3 ni kitu cha kawaida...alichokuwa anakosea mke wangu ni kunishutumu,dhihaki,kugombeza,kunung'unika nk hili ni kosa kubwa sana...!nikienda nje napokewa visuri nabembelezwa,nasifiwa kazi yangu nk ...kuna kipindi tulikaa 2moths bila kufanya tendo...siku moja nikamchukua mke wangu for dinner,nikaongea naye kwa kirefu juu ya tatizo na nikamwambia ni yeye tu ndio anayeweza kulitatua..kwa kuwa karibu na mimi,kunipenda,kunisifia etc...siku hiyo tulilala sehemu tofauti na home..mambo yakawa mazuri kidogo..bdaye ,akajirekebisha pamoja na kumuomba sana mungu....sasa ninavyokuambia mziki wangu umerudi kwenye kiwango cha kutisha..anaomba siku nyingine tupumzike kwania anachoka sana asubuhi....kila siku anauliza "unakunywa viagra au?" mimi nacheka na kumwambia ukiendelea kuni tease mashine itasimama tena shauri yako!na ni kweli!
Soma hapa chini kuhusu Sexual Performance Axiety in Men
Men who have sexual performance anxiety usually worry about whether they do get a penile erection and when they are about to have sex, they lose their erection, or it can be that when they are actually in the course of having sexual intercourse, they lose the genital erection, or they don't get their 'thing' stubbornly up at all.
This is a self-fullfilling fear. So a guy whose brain warns him that it might be a problem if he can't get erect, can't get erect because of the warning.
Sexual performance anxiety can happen to men in any of those situations. The real deal is usually that you are focusing relatively on the final goal, which is of course orgasm, or pleasing your partner with an orgasm, instead of focusing on all the rest of what goes on in the sexual encounter.
 
Back
Top Bottom