Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,376
Mwambie dadako atujuze in details haya yafuatayo:-
1- ilianza lini hali hiyo kwa mumewe?
2- ilianza vip i.e. Ni ghafla au ni kadri siku ziendavyo uwezo unapungua?
3- wanahistoria ya magomvi huko kipindi cha nyuma na hasa ya kimahusiano?
4- alishawahi kumfumania mmewe?
5-mmewe alishawwahi kumwomba tigo?
6- amefanya uchunguzi kujuwa kama mmewe ana small house na kama anayo amechunguza sifa za small house ikiwamo ya kutoa tigo?
7-mmewe ni mfanyakazi au mfanyabiashara na kama biashara au kazi ni ipi?
8-mmewe ana historia ya magonjwa kama moyo sukari figo na ini?
9-mmkewe/dadako unaweza kumweka katika sifa zipi mzuri wa kawaida mzee sana tipwatipwa au kimodel? Tafadhali kuwa mkweli katika hili.
10-nikipata majibu juu ya hayo nitakuwa kwenye nafasi ya kujuwa chanzo cha tatizo.
1- ilianza lini hali hiyo kwa mumewe?
2- ilianza vip i.e. Ni ghafla au ni kadri siku ziendavyo uwezo unapungua?
3- wanahistoria ya magomvi huko kipindi cha nyuma na hasa ya kimahusiano?
4- alishawahi kumfumania mmewe?
5-mmewe alishawwahi kumwomba tigo?
6- amefanya uchunguzi kujuwa kama mmewe ana small house na kama anayo amechunguza sifa za small house ikiwamo ya kutoa tigo?
7-mmewe ni mfanyakazi au mfanyabiashara na kama biashara au kazi ni ipi?
8-mmewe ana historia ya magonjwa kama moyo sukari figo na ini?
9-mmkewe/dadako unaweza kumweka katika sifa zipi mzuri wa kawaida mzee sana tipwatipwa au kimodel? Tafadhali kuwa mkweli katika hili.
10-nikipata majibu juu ya hayo nitakuwa kwenye nafasi ya kujuwa chanzo cha tatizo.