harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Juzi tulikua kwenye msiba wa Mwalimu wangu mmoja.Wakati hili likiendelea nikawa nauliza kwamba ni nini hasa kilipelekea kifo cha Mwalimu huyu.
Nikaambiwa Hospitali Docta alisema kwamba jamaa alikua na stress ya muda mrefu stori ikawa hivi :
Huyu mwl. kabla hajaenda kusoma Canada na Marekani alikuwa ameoa halafu baada ya hapo wakapata mtoto mmoja sikuuliza kwamba ni wa kike au kiume kwani ningezidi kufukunyua mambo.Wakati akiwa nje alikua anatuma fedha za matumizi kama kawaida na baadae alituma fedha za kununua kiwanja na ramani ya nyumba pamoja na fedha za kujenga nyumba hiyo .Cha kumpa stress ni pale aliporudi kumwambia mkewe wahamie kwenye nyumba yao sasa mkewe akamkana na kumwambia hata mtoto sio wake.
Hapa ndio ukawa mwanzo wa ile stress ya yule mwl. wangu ikafanya moyo uwe mkubwa kupita kiasi ,ilivyochangiwa na kisukari pamoja na umri yule mwl. akatutoka .Mungu mpumzishe sehemu yenye mazingira mazuri upepo mwanana,Amen.
Mwangalie mpenzi wako je anakupa stress, na mtatizo mengine kama ndio atakuua.
Nikaambiwa Hospitali Docta alisema kwamba jamaa alikua na stress ya muda mrefu stori ikawa hivi :
Huyu mwl. kabla hajaenda kusoma Canada na Marekani alikuwa ameoa halafu baada ya hapo wakapata mtoto mmoja sikuuliza kwamba ni wa kike au kiume kwani ningezidi kufukunyua mambo.Wakati akiwa nje alikua anatuma fedha za matumizi kama kawaida na baadae alituma fedha za kununua kiwanja na ramani ya nyumba pamoja na fedha za kujenga nyumba hiyo .Cha kumpa stress ni pale aliporudi kumwambia mkewe wahamie kwenye nyumba yao sasa mkewe akamkana na kumwambia hata mtoto sio wake.
Hapa ndio ukawa mwanzo wa ile stress ya yule mwl. wangu ikafanya moyo uwe mkubwa kupita kiasi ,ilivyochangiwa na kisukari pamoja na umri yule mwl. akatutoka .Mungu mpumzishe sehemu yenye mazingira mazuri upepo mwanana,Amen.
Mwangalie mpenzi wako je anakupa stress, na mtatizo mengine kama ndio atakuua.