kama ulikuwa unapiga kelele ticha akiingia gafla unajifanya umenunaha ha haaaaaa,unanikumbusha enzi nasoma sec,ilikuwa ikifika mida flani lazima watu wasinzie...basi ticha ilikuwa anakuamsha kwa kukurushia chaki..ukishaamka unajikausha ka ulikuwa macho,halaf unaendelea kufunua kitabu!
usipime
Mwalimu mmoja alienda darasani huku amechoka,kufika tu akawapa wanafunzi vitabu wasome kisa cha ''watu wa pangoni''.Mara akapitiwa na usingizini na kuuchapa pale pale mezani kwake.
Gafla anashtuka anamwona msaidizi mkuu wa waalimu ndo ameshaingia darasani.....hapo hapo akaunganishia hadithi..................
''basi MFANO NILIOTOA NDO WALIVYOKUWA WANALALA WATU WA PANGONI''
ha ha haaaaaa,unanikumbusha enzi nasoma sec,ilikuwa ikifika mida flani lazima watu wasinzie...basi ticha ilikuwa anakuamsha kwa kukurushia chaki..ukishaamka unajikausha ka ulikuwa macho,halaf unaendelea kufunua kitabu!