Nimefanikiwa kufungua lakini nimeingiza namba nikaambiwa you did not aquire loan for 2013/2014. sasa cjui ndo nimekosa na kama hvo inamaana na boom na accomodatioin nimekosa au. naomben msaada!!!!!
Kaka kwani jinalo lilitoka kwa wale waliokosea kujaza fomu za mkopo?? Jibu fasta usaidiwe!inakuaje koz waliandika priority halaf nikos kabsa yaaan s2331/0027 not aquire loan for 2013/2014 wakat nimemchekia mwenzangu kapewa na koz hiyohiyo na chuo hicho hicho nit na waliandika possible loan ipo??
course gan? 7b bachelor degree in logistics and transport management TUITION 950,000 possible 950,000 bt is non-priority huyo xwaiba wako kapewa %?
koz ni BBA chuo NIT waliandika priority rafiki yangu kapewa ila mimi wameandika i did not securecourse gan? 7b bachelor degree in logistics and transport management TUITION 950,000 possible 950,000 bt is non-priority huyo xwaiba wako kapewa %?
Hope uko aware zaidi ya first year elfu 20 wamekosa mkopo?? Am so sorry bro but I think umekosa mkopo!jina la wliokosea halikutoka kwa maana hiyo form haikuwa na shida