Ndo nimeachwa hivi au?

Ndo nimeachwa hivi au?

Fedha, Fedha ,embu mtumie laki moja na buku ten yakutolea uone reaction yake.
 
Nawe piga kimya mkuu hawa madem ndo wanakuwaga hivyo wakati mwingine,akishajua unamhitaji sana na anaona hauwezi kuishi kwa furaha bila yy, japo inauma fanya kumuonesha yy sio pumzi yako unaweza endelea na maisha yako bila yy yaani mtafute anapokutafuta akikaa kimya naww piga kimya kama ikipita wiki mbili hajakutafuta basi jua hakupendi na hauna haja yakulazimisha penzi kwa asiyekupenda endelea na life lako,wakati mwingine kuwabembeleza sana siyo ishu be a man hata kama inauma hamna namna
 
Nanina hujawai hata kumtumia mpesa unatemea nini, nfyuuuuuuux
 
Tuseme mi ndo muhusika aka. huyo binti, iko hivi kuna watu tukiwa kwenye mahusiano tunapenda kuona tunajaliwa kwa matendo na mahusiano yanapiga hatua, sasa tukikuta mambo yenyewe ni kuongeaga tuuu tukikutana tubanduanee mwanaume upo tuu vizawadi zawadi hamnaa alafu nakupenda penda nyiiingi matendo sasa zero yani mtu humuelewi elewi.
Alafu mwisho nikutane na mtu anakuzidi vigezo ndo kama hivyo najikalisha tu kimya sikwambii chochote kumbe nishakuacha kitamboo na zaidi nakua tu naomba usinitafute yani ujiongeze tu mwenyewe kwamba nishakua manyoya na ukiendelea kunitafuta nakuona keroo tuu.

Sasa jitafakari ulikua una mtreat vipi huyo mwenzio, watu hawabadiliki bila sababu. Pole lakini.
Neno
 
Usiandike tu got the point kama huishi naye mtaa mmoja iyo ni fursa ya kutafuta demu mwingine uku unapunguza polepole kumtafuta maana maumivu ya kumpenda mtu hayatoki polepole ukipata mpya ukimzoea uyoo tupa kule na mwanaume unakuaje na demu mmoja aisee uwoo ni ungesee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MUNGU anakuona ujue hasa kwenye hitimisho lako. We haya we!!!
 
Wewe
Roho inauma ila sina namna kuna binti niliyekua nampenda ila siku za hivi karibuni amebadilika gafla naweza kumpigia simu ata mara 4 hapokei na na Baada ya Mda namkuta Kapost status Whatsapp means kwamba kaona call zangu lakini kazi mute sad namtumia Text wala hajibu au anajibu akijisikia daaah sad..
Nikimuuliza nini Tatizo anadai hakuna Tatizoo nashindwa kumuelewa wadau na nisipomtafuta mimi hatanitafuta kabisaa ata nikikaa siku 3 na yeye ata mute na mwanzoni hakua hvoo kabisaa alikua asubuhi anacheki jioni ananipigia simu tunaongea ila sasa hivi hafanyi hvoo.....


NDO NIMEACHWA HIVI AU BADO NIENDELEE KUJIPA MATUMANI KUWA ATABADILIKA??..
NOTE: HATUJAWAHI KUGOMBANA WALA NINI..
Wa wapi huoni dalili hiyooo..
 
Asante Thad swahiba wangu wa ukweli,

hakuna namna swahiba, mahusiano ya mapenzi au uchumba yanapogoma kusonga mbele bora tu mkaachana.

Kweli swahiba, ni vigumu kulazimisha maji kupanda mlima. Inapobidi tunafanya maamuzi magumu hata kama yanatuumiza.
 
Tuseme mi ndo muhusika aka. huyo binti, iko hivi kuna watu tukiwa kwenye mahusiano tunapenda kuona tunajaliwa kwa matendo na mahusiano yanapiga hatua, sasa tukikuta mambo yenyewe ni kuongeaga tuuu tukikutana tubanduanee mwanaume upo tuu vizawadi zawadi hamnaa alafu nakupenda penda nyiiingi matendo sasa zero yani mtu humuelewi elewi.
Alafu mwisho nikutane na mtu anakuzidi vigezo ndo kama hivyo najikalisha tu kimya sikwambii chochote kumbe nishakuacha kitamboo na zaidi nakua tu naomba usinitafute yani ujiongeze tu mwenyewe kwamba nishakua manyoya na ukiendelea kunitafuta nakuona keroo tuu.

Sasa jitafakari ulikua una mtreat vipi huyo mwenzio, watu hawabadiliki bila sababu. Pole lakini.
Mkuu naomba nafasi kwako ZAWADI zitakuepo
 
Hapo kuna sehemu anachezesha bahati yake ikibuma mbona atarudi tu .
 
pole sana mkuu hapo ushavamiwa penzi lako nakushauri acha kumfatilia hasa kwa kupiga sim utajiumiza tu bure kama mpo karibu ni vzur kama mtakaa na kuyaongea but kama ni mbali fyekelea mbali hizo sim unazopiga kuna siku zitapokelewa na mwanaume mwenzako kwhyo jiandae kisaikolojia
 
Jinga sana ww, wanawake wametapakaa kila kona unalia lia eti umeachwa, wanaume wa dar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom