NenoTuseme mi ndo muhusika aka. huyo binti, iko hivi kuna watu tukiwa kwenye mahusiano tunapenda kuona tunajaliwa kwa matendo na mahusiano yanapiga hatua, sasa tukikuta mambo yenyewe ni kuongeaga tuuu tukikutana tubanduanee mwanaume upo tuu vizawadi zawadi hamnaa alafu nakupenda penda nyiiingi matendo sasa zero yani mtu humuelewi elewi.
Alafu mwisho nikutane na mtu anakuzidi vigezo ndo kama hivyo najikalisha tu kimya sikwambii chochote kumbe nishakuacha kitamboo na zaidi nakua tu naomba usinitafute yani ujiongeze tu mwenyewe kwamba nishakua manyoya na ukiendelea kunitafuta nakuona keroo tuu.
Sasa jitafakari ulikua una mtreat vipi huyo mwenzio, watu hawabadiliki bila sababu. Pole lakini.
MUNGU anakuona ujue hasa kwenye hitimisho lako. We haya we!!!Usiandike tu got the point kama huishi naye mtaa mmoja iyo ni fursa ya kutafuta demu mwingine uku unapunguza polepole kumtafuta maana maumivu ya kumpenda mtu hayatoki polepole ukipata mpya ukimzoea uyoo tupa kule na mwanaume unakuaje na demu mmoja aisee uwoo ni ungesee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wa wapi huoni dalili hiyooo..Roho inauma ila sina namna kuna binti niliyekua nampenda ila siku za hivi karibuni amebadilika gafla naweza kumpigia simu ata mara 4 hapokei na na Baada ya Mda namkuta Kapost status Whatsapp means kwamba kaona call zangu lakini kazi mute sad namtumia Text wala hajibu au anajibu akijisikia daaah sad..
Nikimuuliza nini Tatizo anadai hakuna Tatizoo nashindwa kumuelewa wadau na nisipomtafuta mimi hatanitafuta kabisaa ata nikikaa siku 3 na yeye ata mute na mwanzoni hakua hvoo kabisaa alikua asubuhi anacheki jioni ananipigia simu tunaongea ila sasa hivi hafanyi hvoo.....
NDO NIMEACHWA HIVI AU BADO NIENDELEE KUJIPA MATUMANI KUWA ATABADILIKA??..
NOTE: HATUJAWAHI KUGOMBANA WALA NINI..
Mkuu naomba nafasi kwako ZAWADI zitakuepoTuseme mi ndo muhusika aka. huyo binti, iko hivi kuna watu tukiwa kwenye mahusiano tunapenda kuona tunajaliwa kwa matendo na mahusiano yanapiga hatua, sasa tukikuta mambo yenyewe ni kuongeaga tuuu tukikutana tubanduanee mwanaume upo tuu vizawadi zawadi hamnaa alafu nakupenda penda nyiiingi matendo sasa zero yani mtu humuelewi elewi.
Alafu mwisho nikutane na mtu anakuzidi vigezo ndo kama hivyo najikalisha tu kimya sikwambii chochote kumbe nishakuacha kitamboo na zaidi nakua tu naomba usinitafute yani ujiongeze tu mwenyewe kwamba nishakua manyoya na ukiendelea kunitafuta nakuona keroo tuu.
Sasa jitafakari ulikua una mtreat vipi huyo mwenzio, watu hawabadiliki bila sababu. Pole lakini.
@love b [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MUNGU anakuona ujue hasa kwenye hitimisho lako. We haya we!!!
Yaani wewe! Unataka kuwafundisha vibaya waume zetu@love b [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sasaa unataka jamaa asiseme ukweli...! Kuachwa kunauma mzeeNachukia kuona mwanaume unasema "nmeachwa".
Demu akianza kuzingua...MAPEMA ACHANA NAYE