Ndo nimeachwa hivi au?

Ndo nimeachwa hivi au?

Jombaa Wanawake wanapenda kutikisa kibiriti, Solution ni hii.....
1-kubali kuwa amebadilika na huwezi kumbadili.
2-Usiweke ishara ya kukasirika na kuuzunika katika mitandao unayo share nae especial WhatsApp status and profile...weka picha zako ulizo tabasamu
3-kaa kimya usimtafute
4-usimtafute
5-usimtafute tena
 
Tuseme mi ndo muhusika aka. huyo binti, iko hivi kuna watu tukiwa kwenye mahusiano tunapenda kuona tunajaliwa kwa matendo na mahusiano yanapiga hatua, sasa tukikuta mambo yenyewe ni kuongeaga tuuu tukikutana tubanduanee mwanaume upo tuu vizawadi zawadi hamnaa alafu nakupenda penda nyiiingi matendo sasa zero yani mtu humuelewi elewi.
Alafu mwisho nikutane na mtu anakuzidi vigezo ndo kama hivyo najikalisha tu kimya sikwambii chochote kumbe nishakuacha kitamboo na zaidi nakua tu naomba usinitafute yani ujiongeze tu mwenyewe kwamba nishakua manyoya na ukiendelea kunitafuta nakuona keroo tuu.

Sasa jitafakari ulikua una mtreat vipi huyo mwenzio, watu hawabadiliki bila sababu. Pole lakini.
Hapa nimekuelewa kweli na dhahiri na huu ndio mtindo wa kuwa dumped ulioenea sana kibongo bongo, sasa kama jamaa yako hakupi hela kwanini maamuzi yawe kumsaliti kwa kujiingiza kwa bf mwingine instead ya wewe kutafta kazi?
 
waargertina wana methali yao moja.

Mwanamke ni kama kivuli ukikifuata kinaondoka,ukiondoka kinakufuata.

watongozaji wazuri wote duniani hapa at same point wanatumia hii formula.
 
Soma kwa umakini ushauri wa wadada upate mwanga
 
Tuseme mi ndo muhusika aka. huyo binti, iko hivi kuna watu tukiwa kwenye mahusiano tunapenda kuona tunajaliwa kwa matendo na mahusiano yanapiga hatua, sasa tukikuta mambo yenyewe ni kuongeaga tuuu tukikutana tubanduanee mwanaume upo tuu vizawadi zawadi hamnaa alafu nakupenda penda nyiiingi matendo sasa zero yani mtu humuelewi elewi.
Alafu mwisho nikutane na mtu anakuzidi vigezo ndo kama hivyo najikalisha tu kimya sikwambii chochote kumbe nishakuacha kitamboo na zaidi nakua tu naomba usinitafute yani ujiongeze tu mwenyewe kwamba nishakua manyoya na ukiendelea kunitafuta nakuona keroo tuu.

Sasa jitafakari ulikua una mtreat vipi huyo mwenzio, watu hawabadiliki bila sababu. Pole lakini.
got the Point
 
Jombaa Wanawake wanapenda kutikisa kibiriti, Solution ni hii.....
1-kubali kuwa amebadilika na huwezi kumbadili.
2-Usiweke ishara ya kukasirika na kuuzunika katika mitandao unayo share nae especial WhatsApp status and profile...weka picha zako ulizo tabasamu
3-kaa kimya usimtafute
4-usimtafute
5-usimtafute tena
nimefuata ushauri huu mkuu asantee
 
Kuna mjanga kashabadili pincode hapo. Ndo basi tena tuendelee na movie yetu ya korosho
 
Roho inauma ila sina namna kuna binti niliyekua nampenda ila siku za hivi karibuni amebadilika gafla naweza kumpigia simu ata mara 4 hapokei na na Baada ya Mda namkuta Kapost status Whatsapp means kwamba kaona call zangu lakini kazi mute sad namtumia Text wala hajibu au anajibu akijisikia daaah sad..
Nikimuuliza nini Tatizo anadai hakuna Tatizoo nashindwa kumuelewa wadau na nisipomtafuta mimi hatanitafuta kabisaa ata nikikaa siku 3 na yeye ata mute na mwanzoni hakua hvoo kabisaa alikua asubuhi anacheki jioni ananipigia simu tunaongea ila sasa hivi hafanyi hvoo.....


NDO NIMEACHWA HIVI AU BADO NIENDELEE KUJIPA MATUMANI KUWA ATABADILIKA??..
NOTE: HATUJAWAHI KUGOMBANA WALA NINI..
Yaani bado unaendelea kupiga sim tu! Wenzio wanaipiga papuchi muda huu.
Cha msingi na wewe mpotezee
 
Mzee baba hapo kuna njemba isha chukua nafasi..
 
Na mimi niliachwa hivyo. bora wanatwambia tu wapema ili tujipange kisaikolojia.
 
Kueni kwanza mnasound Kama bado madogolasi ivi....
 
Roho inauma ila sina namna kuna binti niliyekua nampenda ila siku za hivi karibuni amebadilika gafla naweza kumpigia simu ata mara 4 hapokei na na Baada ya Mda namkuta Kapost status Whatsapp means kwamba kaona call zangu lakini kazi mute sad namtumia Text wala hajibu au anajibu akijisikia daaah sad..
Nikimuuliza nini Tatizo anadai hakuna Tatizoo nashindwa kumuelewa wadau na nisipomtafuta mimi hatanitafuta kabisaa ata nikikaa siku 3 na yeye ata mute na mwanzoni hakua hvoo kabisaa alikua asubuhi anacheki jioni ananipigia simu tunaongea ila sasa hivi hafanyi hvoo.....


NDO NIMEACHWA HIVI AU BADO NIENDELEE KUJIPA MATUMANI KUWA ATABADILIKA??..
NOTE: HATUJAWAHI KUGOMBANA WALA NINI..
Usiandike tu got the point kama huishi naye mtaa mmoja iyo ni fursa ya kutafuta demu mwingine uku unapunguza polepole kumtafuta maana maumivu ya kumpenda mtu hayatoki polepole ukipata mpya ukimzoea uyoo tupa kule na mwanaume unakuaje na demu mmoja aisee uwoo ni ungesee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
waargertina wana methali yao moja.

Mwanamke ni kama kivuli ukikifuata kinaondoka,ukiondoka kinakufuata.

watongozaji wazuri wote duniani hapa at same point wanatumia hii formula.
Hii nimeipenda mzee baba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom