Ndo nimeachwa hivi au?

Ndo nimeachwa hivi au?

Mkuu ukiona dalili za kuachwa muache wewe kwanza.
Nikiachwa nitafanya lolote nirudiane nae then akinikubali tu.Namwacha mimi.
 
Rusha mhamala kwa simu yake! Mrushie 1000000 afu uje useme km bado hapokei
Well said rusha mshiko then mpigie ukiona apokei wapigie customer care wambie umekosea nambari ya kutuma muamala irejeshwe kwako.
Utanipa jibu kama hajakupigia
 
Tuseme mi ndo muhusika aka. huyo binti, iko hivi kuna watu tukiwa kwenye mahusiano tunapenda kuona tunajaliwa kwa matendo na mahusiano yanapiga hatua, sasa tukikuta mambo yenyewe ni kuongeaga tuuu tukikutana tubanduanee mwanaume upo tuu vizawadi zawadi hamnaa alafu nakupenda penda nyiiingi matendo sasa zero yani mtu humuelewi elewi.
Alafu mwisho nikutane na mtu anakuzidi vigezo ndo kama hivyo najikalisha tu kimya sikwambii chochote kumbe nishakuacha kitamboo na zaidi nakua tu naomba usinitafute yani ujiongeze tu mwenyewe kwamba nishakua manyoya na ukiendelea kunitafuta nakuona keroo tuu.

Sasa jitafakari ulikua una mtreat vipi huyo mwenzio, watu hawabadiliki bila sababu. Pole lakini.
Duuuuuu

Kumbe vizawadi zawadi muhimu ehhh. Ukikutana na mimi mpenzi wa kwenda beach utafurahia zawadi ya kuiona bahari hadi iwe kero



Justajoke
 
Tuseme mi ndo muhusika aka. huyo binti, iko hivi kuna watu tukiwa kwenye mahusiano tunapenda kuona tunajaliwa kwa matendo na mahusiano yanapiga hatua, sasa tukikuta mambo yenyewe ni kuongeaga tuuu tukikutana tubanduanee mwanaume upo tuu vizawadi zawadi hamnaa alafu nakupenda penda nyiiingi matendo sasa zero yani mtu humuelewi elewi.
Alafu mwisho nikutane na mtu anakuzidi vigezo ndo kama hivyo najikalisha tu kimya sikwambii chochote kumbe nishakuacha kitamboo na zaidi nakua tu naomba usinitafute yani ujiongeze tu mwenyewe kwamba nishakua manyoya na ukiendelea kunitafuta nakuona keroo tuu.

Sasa jitafakari ulikua una mtreat vipi huyo mwenzio, watu hawabadiliki bila sababu. Pole lakini.
Tatizo lenu tamaaa! sio kampata mwingine sema kapata bwana mwenye pesa zaidi ya bwana wake wa kwanza...
 
Jombaa Wanawake wanapenda kutikisa kibiriti, Solution ni hii.....
1-kubali kuwa amebadilika na huwezi kumbadili.
2-Usiweke ishara ya kukasirika na kuuzunika katika mitandao unayo share nae especial WhatsApp status and profile...weka picha zako ulizo tabasamu
3-kaa kimya usimtafute
4-usimtafute
5-usimtafute tena
Daaah broo umeua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom