Tuseme mi ndo muhusika aka. huyo binti, iko hivi kuna watu tukiwa kwenye mahusiano tunapenda kuona tunajaliwa kwa matendo na mahusiano yanapiga hatua, sasa tukikuta mambo yenyewe ni kuongeaga tuuu tukikutana tubanduanee mwanaume upo tuu vizawadi zawadi hamnaa alafu nakupenda penda nyiiingi matendo sasa zero yani mtu humuelewi elewi.
Alafu mwisho nikutane na mtu anakuzidi vigezo ndo kama hivyo najikalisha tu kimya sikwambii chochote kumbe nishakuacha kitamboo na zaidi nakua tu naomba usinitafute yani ujiongeze tu mwenyewe kwamba nishakua manyoya na ukiendelea kunitafuta nakuona keroo tuu.
Sasa jitafakari ulikua una mtreat vipi huyo mwenzio, watu hawabadiliki bila sababu. Pole lakini.