Ndo nimeachwa hivi au?

Ndo nimeachwa hivi au?

Mzee Jiongeze au mpaka akwambie mm na ww basi

uanze kuugua presha afu ufe ghafla ghafla??
 
Miaka ya nyuma iliwahi kunitokea hata mimi, mchumba wangu wa kike tuliyekuwa tunawasiliana vizuri na kuoneshana mapendo alibadilika ghafla mawasiliano yakawa magumu sana, simu hapokei, meseji hajibu hatakama nilimtumia kifurushi bado alikuwa mzito sana kunijibu sms.

Lakini wakati huo roho yangu ilikosa amani naye, ilinambia sipaswi kumwamini kabisa badala yake nitafute binti mwingine nimuoe.

Nikatafuta binti mwingine nikaoa, baada ya kusikia nimeoa akaanza kunisumbua na meseji akitaka nimuoe mke wa pili, nikamwambia haiwezekani pambana tu na hali yako.


Sikiliza roho yako inakushauri nini, usifuate moyo tafadhari.
 
Nasisitiza, ukiona demu hapokei call wala kujibu txt, you better let her go, yaan we PIGA CHINI.
 
Roho inauma ila sina namna kuna binti niliyekua nampenda ila siku za hivi karibuni amebadilika gafla naweza kumpigia simu ata mara 4 hapokei na na Baada ya Mda namkuta Kapost status Whatsapp means kwamba kaona call zangu lakini kazi mute sad namtumia Text wala hajibu au anajibu akijisikia daaah sad..
Nikimuuliza nini Tatizo anadai hakuna Tatizoo nashindwa kumuelewa wadau na nisipomtafuta mimi hatanitafuta kabisaa ata nikikaa siku 3 na yeye ata mute na mwanzoni hakua hvoo kabisaa alikua asubuhi anacheki jioni ananipigia simu tunaongea ila sasa hivi hafanyi hvoo.....


NDO NIMEACHWA HIVI AU BADO NIENDELEE KUJIPA MATUMANI KUWA ATABADILIKA??..
NOTE: HATUJAWAHI KUGOMBANA WALA NINI..
Kusoma hujui hata picha huoni? Move on with your life.
 
Miaka ya nyuma iliwahi kunitokea hata mimi, mchumba wangu wa kike tuliyekuwa tunawasiliana vizuri na kuoneshana mapendo alibadilika ghafla mawasiliano yakawa magumu sana, simu hapokei, meseji hajibu hatakama nilimtumia kifurushi bado alikuwa mzito sana kunijibu sms.

Lakini wakati huo roho yangu ilikosa amani naye, ilinambia sipaswi kumwamini kabisa badala yake nitafute binti mwingine nimuoe.

Nikatafuta binti mwingine nikaoa, baada ya kusikia nimeoa akaanza kunisumbua na meseji akitaka nimuoe mke wa pili, nikamwambia haiwezekani pambana tu na hali yako.


Sikiliza roho yako inakushauri nini, usifuate moyo tafadhari.
Pole na hongera swahiba!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom