Rafiki mkubalie kwanza kaka yangu RRONDO ndiyo tutaongea!Hahaaa !!wee mtu upo?
Wanawake unawataka ila unahisi wengine wanakuzibia...
😀mimi naogopa beef lenu jomoni..Rafiki mkubalie kwanza kaka yangu RRONDO ndiyo tutaongea!
Rafiki wala hatuna bifu lolote, sisi ni ndugu tunaopendana sana sema RRONDO ana kaukorofi kidogo!!😀mimi naogopa beef lenu jomoni..
Kusoma hujui hata picha huoni? Move on with your life.Roho inauma ila sina namna kuna binti niliyekua nampenda ila siku za hivi karibuni amebadilika gafla naweza kumpigia simu ata mara 4 hapokei na na Baada ya Mda namkuta Kapost status Whatsapp means kwamba kaona call zangu lakini kazi mute sad namtumia Text wala hajibu au anajibu akijisikia daaah sad..
Nikimuuliza nini Tatizo anadai hakuna Tatizoo nashindwa kumuelewa wadau na nisipomtafuta mimi hatanitafuta kabisaa ata nikikaa siku 3 na yeye ata mute na mwanzoni hakua hvoo kabisaa alikua asubuhi anacheki jioni ananipigia simu tunaongea ila sasa hivi hafanyi hvoo.....
NDO NIMEACHWA HIVI AU BADO NIENDELEE KUJIPA MATUMANI KUWA ATABADILIKA??..
NOTE: HATUJAWAHI KUGOMBANA WALA NINI..
Kama wewe ulivyo move on with your life ulivyoachagwa na yule demu wako wa JF![emoji4][emoji4][emoji4]Kusoma hujui hata picha huoni? Move on with your life.
Jamaa anampenda huyo binti sasa akiona nataniana nae anakosa amani....🙂🙂🙂🙂Haha pacha mi nikajua najipatia wifi hapa
Rafiki sio wewe Ndo mkorofi?Rafiki wala hatuna bifu lolote, sisi ni ndugu tunaopendana sana sema RRONDO ana kaukorofi kidogo!!
Endeleza juhudi utafanikiwa.Kama wewe ulivyo move on with your life ulivyoachagwa na yule demu wako wa JF![emoji4][emoji4][emoji4]
Haha kweli nimeona unapenda kumchokoza pacha wangu weweKama wewe ulivyo move on with your life ulivyoachagwa na yule demu wako wa JF![emoji4][emoji4][emoji4]
Haha mzee wa churaJamaa anampenda huyo binti sasa akiona nataniana nae anakosa amani....🙂🙂🙂🙂
😀😀Kama wewe ulivyo move on with your life ulivyoachagwa na yule demu wako wa JF![emoji4][emoji4][emoji4]
Pole na hongera swahiba!Miaka ya nyuma iliwahi kunitokea hata mimi, mchumba wangu wa kike tuliyekuwa tunawasiliana vizuri na kuoneshana mapendo alibadilika ghafla mawasiliano yakawa magumu sana, simu hapokei, meseji hajibu hatakama nilimtumia kifurushi bado alikuwa mzito sana kunijibu sms.
Lakini wakati huo roho yangu ilikosa amani naye, ilinambia sipaswi kumwamini kabisa badala yake nitafute binti mwingine nimuoe.
Nikatafuta binti mwingine nikaoa, baada ya kusikia nimeoa akaanza kunisumbua na meseji akitaka nimuoe mke wa pili, nikamwambia haiwezekani pambana tu na hali yako.
Sikiliza roho yako inakushauri nini, usifuate moyo tafadhari.