Ndio natoka Polisi muda huu. Nashukuru Ujumbe umefika

Sijawai kuona nijitu mipumbav kama wewe yaan wewe na teja, teja kakuzid ujanja.

Mimi sikomi kujiuliza kama tutaendelea kua na watu wadizein yako Hakika nchi hii bado ina safar ndefu. Jana tu Lugola katolewa kwa tuhuma hizohizo je nsye kasain kipind cha kikwete.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poor thinking ,watanzania wana akili badala ya kufanya kazi una taka kuhujumu vyombo vya serikali so unataka tufikiri kuwa wewe ni usiyejulikana kwa id alafu unajitapa hadharani kuwa umechapa vibao na polisi wamekuachia sema unataka watu wakupinge uwajue wasiojulikana halisi jamii forum na pia inawezekana ni mtu upo karibu na vyombo vya usalama sasa unachonganisha sasa sisi inatuhusu nn kama ulimpiga vibao huyo mtu aliye sema bora kikwete .poor mind ndo maana nchi haindelei kwa vilaza kama wewe hakuna mtu anaweza jitambulisha kirahisi kama wewe ulivyo Fanya
Muda huu ndo natoka kituo cha polisi hapa ********. Nashuru Polisi wameelewa kirahisi sana hasa baada ya kupata call kuwa waniruhusu tu niondoke baada ya mimi kugoma kuwaonesha kitambulisho changu nikitaka Mkuu wa kituo ndo akione.

Nlikuwa nmepeleka gari kuosha sehemu flan kwa presha n.k pembeni yake pana bar nikawa nakunywa soup na grand malt.

Jamaa wakawa wana maongezi na wakapenda nichangie.tuliongea vizuri mpaka taahira mmoja teja msafi aliposema eti" bora ya utawala wa kikwete"

Huyu alinishtua sana nikaona atakuwa si mtanzania.na kama ni mtanzania basi ni mpumbavu sana.nlimwambia sijawahi ona mtu hana akili kama yeye duniani.

Nlimweleza akawa hana hoja anasema tu miaka ile hata biashara ya madawa ilikuwa inalipa.hapo ndio nikaamua kumcharaza vibao.nlimwona ni mpumbavu sana.nmemtandika vibao hasa.na kumgaragaza.yaani unakumbusha utawala wa kikwete bila aibu?

Ile serikali ya hovyo kupata kutokea dunian?serikali ya majizi wapiga deal.wauza madawa ya kulevya n.k? Nmemtandika sana mpaka kudondosha meno na akaenda polisi ambao nliwasubiri.

Wakaja tukaenda kituoni jamaa akaeleza mkasa wote.wakanouliza nikasema ni kweli kama alivyosema.tena nikawaambia nmemhurumia sana jamaa maana ni mhujumu uchumi asilimia 100.wakaomba ID yangu nilimwambia yule askari yeye hawezi shika ID yangu. Labda mkuu wake wa kituo.

Nikachukua simu nika dial namba.nikaijulisha tu nipo kituo cha polis xxxxx .baada ya dk 5 ikapigwa simu niruhusiwe kuondoka.nikaondoka nikachukua gari nlipoicha na kurudi home.

Kuna mitanzania ambayo imeshakuwa mindondocha au majini.hayana akili yanaongea upuuzi mpaka unatamani uyashoot tu yakawe mbole hata tupande michongoma au yaote magugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kitendo ulichofanya bila kujali we ni jwtz, ptz, jmt, sijui mnaita tiss. Ungekutana na watu wenye akili timamu saa hizi ungekuwa lupango. Labda Kama story yako ni yakuunga ili tujue Kama we una uchungu Sana na serikali ya awamu hii kulikoni hata akina Ndugai na Paul. Kwa kuwa Kama ungekuwa umesoma angalau hata elimu ya uraia, naamini ungekuwa na hekimi. Sijajua umri wako inawezekana ukawa ni miongoni mwa vijana wa miaka ya 2000. Mi nakumbuka enzi zetu tulio somea vitabu Kama karudi baba safari ya mbali Mara sijui chopeko na mnofu, kibanga kampiga mkoloni hatukulelewa Katika maadili ya kidigital.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuona kidume kama hao askari nao baada ya kuulizia ID ungewapa kichapo kisha uondoke zako.

Umeonyesha umama wa kiwango cha SGR kupiga simu kwa mumeo ili akuombee kwa hawara wake ambae yupo kitengo ili uachiwe huru.

Umama ni shida sana.
 
Back
Top Bottom