Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,441
- 166,938
[/ QUOTE] Si kweli sema ndio umepanda gari ya kufunga mkanda kwa mara ya kwanza maana mimi pia niko Dar ila hupanda daladala za mbagala hazina mkanda.![]()
Kaniambia tu funga mkanda, nimepanda teksi kebuHahaaaaa,, hata dereva kashindwa msaidia?
[/ QUOTE] Si kweli sema ndio umepanda gari ya kufunga mkanda kwa mara ya kwanza maana mimi pia niko Dar ila hupanda daladala za mbagala hazina mkanda.![]()
Huku RELWE ndio Ubungo?ndio kapokelewa ubungo hapo....
Halafu ukiwa kijijini kwenu huwa unajifanya unajua kila kitu wewe ndo he he heee...mambo ya Bush party hayo!!!
Sasa nisijue kila kitu kwanini, nina divishen foo ya fom foo, wee unayo? Relwe nimekutana na jamaa tulisomaga nae msingi, ananiuliza kwenye facebook natumia jina gani, nikamjibu mi tangia nimelize shule mambo ya mabuku sinaga mpango nayo kabisaHalafu ukiwa kijijini kwenu huwa unajifanya unajua kila kitu wewe ndo he he heee...mambo ya Bush party hayo!!!
ndio....Huku RELWE ndio Ubungo?
Kwani Dar ndio wanaishi watu wajanja tuu au ?Sababu mimi sijaona ujanja wakinionesha huyo jamaa kapanda TAXI ubungo anaelekea Mbezi kuwa Shamba Boy na nimrugaruga kiasi hata mkanda wa gari umemshinda.
Wasiwasi pia ni akili.unanisimanga