Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Unakuta mkeo anajifungua, ukampeleka kwa daktari (ambaye ni mwanaume)....! daktari huyu anakuamuru umuache mkeo hospitalini under his care for say two weeks....! Kila mara anamtembelea na kumchezeachezea kwa central fingers zake, tena peupe kabisa, huku wakiwa ndani ya kuta nne na wako peke yao....! Lakini siku ya mwisho, wewe na mkeo mnafuata huyo daktari kwa pamoja na kumshukuru kwa kumwambia "Asante sana doctor"...! Patamu kweli....!