Ndio kwanza nimejiunga jf, naomba ukaribisho wenu.

Ndio kwanza nimejiunga jf, naomba ukaribisho wenu.

SenBoy

Member
Joined
Sep 7, 2011
Posts
38
Reaction score
40
Salaam wana JF, leo ndio siku ya kwanza kabisa kujiunga nanyi katika Forrum hii. Nimefanya hivyo kutokana na kuvutiwa na uhodari wenu katika kuchangia mada mbalimbali hasa za kisiasa. Natumaini tutashirikiana pamoja katika kuelimishana na kuhabarishana matukio mbalimbali yanayohusu nchi yetu Tz pamoja na Ulimwenguni kwa ujumla. Ahsanteni.
 
Karibu! Na ujisikie umefika nyumbani. Na yale mambo yako ya K##*****e kama ninavyokujua humu hatutaki.
 
Karibu sana unafiki uache ulikotoka hapa ingia na evidence, otherwise vingine tutakua tunakumbushana
 
...karibu sana,soma kwa makini sheria nataratibu za jf.VIGEZO NA MASHARTI VITAZINGATIWA
 
karibu mwaya! Ila ukiwa ni ccm utajuta maana cdm ndio mpango mzima humu ndani,
 
........SenBoy,.....karibu kwa mikono miwili,............
 
karibu sana ukipata stress kwenye jukwaa la siasa nenda MMU
 
Karibu sana, huko kwenye siasa utakutana na mtu anaitwa FF, mpe salamu.
 
Back
Top Bottom