Ndesamburo: Ngumi zitapigwa bungeni

Ndesamburo: Ngumi zitapigwa bungeni

Safi sana maana masisiem yalizoea kusinzia,wakileta za kuleta hata huyo spika anakula makonde tu....tumechoka kuburuzwa na majangili.
 
Ngumi unaziweza wewe mzee au unataka kuwatafutia watu kesi bungeni mpate pakutokea.

Hivi wananchi wamewachaguwa kwenda bungeni kupigana ngumi.

Badala ya kueleza sera zenu mnaeleza jinsi ya kupigana ngumi.
 
Huyu mzee anawatafutia watu kesi ya mauaji, hivi kweli akirushiwa moja ya uso ataamka kweli?
Kamguse kamanda Ndesa uone mziki wake,unafikiri ni dhaifu kama yule anayeanguka ga majukwaani??
 
Ngumi unaziweza wewe mzee au unataka kuwatafutia watu kesi bungeni mpate pakutokea.

Hivi wananchi wamewachaguwa kwenda bungeni kupigana ngumi.

Badala ya kueleza sera zenu mnaeleza jinsi ya kupigana

ngumi.
Ni sera gani ya chama inayoelezewa bungeni wewe gamba??
 
Ambao hawajamuelewa mzee Ndesamburo nawafananisha na dinasarious. minyama mikubwa inaakili zinazochelewa kutoa maamuzi sahihi kwa wakati muafaka.
 
Anastahili kupimwa akili mkuu si bure hata kidogo

Mtu kutetea maslahi ya Taifa unataka akapimwe akili? Inatakiwa tushikishane adabu kama Bunge la Ukrain, wabunge wa CCM wanajiona wao ndiyo wenye haki miliki na nchi hii wakati wameshindwa kuleta maendeleo ya maana!

Ndesa, nakuunga mkono inahitajika nidhamu ya kuheshimu maslahi ya nchi siyo chama!
 
Huyu mzee anazeeka vibaya sasa anataka watu wapigane ngumi bungeni yeye ataweza kurusha ngumi.

Mbona huyu mzee kasema maneno ya hekima najua wengi hawataki kuambiwa ukweli , nyie mnataka wanaokosoa hoja za bunge kwa kiasi kikubwa baadae anaunga mkono asilimia 300%
Ujinga huo ndo umelifisha hili Taifa wanatwangana ngumi, angalia umakini wao walepo miswada bungeni
Hatukuwatuma wabunge mijengoni wakaende kula nyama choma , ukitetea kitu gangamala
 
kinauche
sore nimetumia tu lugha ya mtaani
hope umenisoma kuwa ana vijisenti vya kutosha na ziada.

Kwenu wapi? Acha wivu. Angekuwa na pesa chafu angeachwa atembee mtaani kwani Serikali inamwogopa? Ukiona bubu kaongea ujue kuna jambo.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kuna vitu anaongea mtu fulani, unabaki mdomo wazi. Sifa zingine???
 
ImageUploadedByJamiiForums1364280028.178937.jpg ImageUploadedByJamiiForums1364280055.451129.jpg
Kama hakuna kuheshimiana hii ndiyo njia ya kupata ufumbuzi.
 
naunga mkono hoja, dharau zimezidi sana katika nchi hii.
We utakua na matatizo ya afya ya akili. Yani uunge mkono upuuzi huu? Haya wakipigana watapata fursa ya kutu wakilisha kiu fasaha? Vijana wa kileo muna tabu aise!
 
hili ndio kosa letu kubwa kwenye uongozi, tuache kuiga mavazi ya Ulaya na Amerika, tuige hata masuala mengine ya msingi kama ya uongozi
Hakuna mwana siasa ndani ya bongo anaye choka madaraka, bali madaraka huwa chokaga wao.
 
Yaani anataka kuligeuza bunge ulingo wa ndondi..! Hakika huyu mzee anazeeka vibaya mno..!

Bravo Mzee Ndesa Pesa. Ngumi ndo suluhisho. Tuanze na Bi Kiroboto, Lukuvi, Mwanasheria Mkuu na Ndugai tuone kama makelele ya Ndiyooooo yatakuwepo tena Bungeni
 
Ritz heshima yako kaka,
najua tunazungumza lugha moja.
[TABLE="width: 636"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 54, bgcolor: transparent"]1 Timotheo[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]5[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]17[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Wazee watawalao vema na wahesabiwe kustahili heshima maradufu; hasa wao wajitaabishao kwa kuhutubu na kufundisha. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Timotheo[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]5[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]18[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Kwa maana andiko lasema, Usimfunge kinywa ng'ombe apurapo nafaka. Na tena, Mtenda kazi astahili ujira wake. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]



Siyo kila upuuzi unaosemwa na viongozi wenu unameza tu huyu mzee kwa umri wake hakutakiwa kusema hayo maneno.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom