Ndesamburo: Ngumi zitapigwa bungeni

Ndesamburo: Ngumi zitapigwa bungeni

Wana ruhusiwa kupigana ila si kwa ngumi bali ni kwanguvu za hoja
 
Mtu kutetea maslahi ya Taifa unataka akapimwe akili? Inatakiwa tushikishane adabu kama Bunge la Ukrain, wabunge wa CCM wanajiona wao ndiyo wenye haki miliki na nchi hii wakati wameshindwa kuleta maendeleo ya maana!

Ndesa, nakuunga mkono inahitajika nidhamu ya kuheshimu maslahi ya nchi siyo chama!
Hivi kupigana ngumi Bungeni ninjia mojawapo ya kutetea maslahi ya nchi yetu?
 
Hata inapobidi wafanye hivyo ili kuleta displine kwa bunge huku mbunge anaanza kuunga mkono hoja 100% baada ya hapo vituko vitupu malalamiko malalamiko kwa nn wasipeane adabu kwa kuzichapa.Mzee amelonga vyema
 
We utakua na matatizo ya afya ya akili. Yani uunge mkono upuuzi huu? Haya wakipigana watapata fursa ya kutu wakilisha kiu fasaha? Vijana wa kileo muna tabu aise!
wananchi hatupendi upindishwaji wa kanuni zinazofanywa na spika na naibu wake ili kuilinda ccm na serikali yake, wananchi tuna matatizo makubwa na hoja za msingi eti kwa sababu zimeletwa na wapinzani basi zinapingwa chini -- ni wale tu wafaidikao na mfumo huu ndiyo watakaotetea jambo hili. wabunge wanakwenda bungeni kutetea wananchi / kuisimamia serikali kutimiza majukumu yake; sasa hili nao unataka tukufundishe?

Ungekuwa unasomesha watoto wako shule za kayumba / kata -- ungekuwa na busara
Ungekuwa unategemea watoto wako wakiugua uende mwananyamala au amana hosp. -- ungekuwa na busara
ungekuwa unaishi ubungo, kimara na unanunua dumu moja la maji sh. 500 kila siku - ungekuwa na busara
ungekuwa unaishi chini ya sh. 1000 kama walivyo watanzania zaidi ya 80% ungekuwa na busara

all in all, jifanye hamnazo ili ungange njaa!!! mpo wengi tu katika nchi hii. tena waambie na wenzio msilionyeshe bunge live ili tusijue kinachoendelea humo ndani.

Asante sana mzee wangu kuwaambia ukweli - tena nakumbuka miaka ya nyuma ulishawapasha tena waache tabia ya kuwaibia watanzania maskini, watafute pesa kwa akili na jasho lao -- bado hawajasikia.

Move on ndesa....
 
Maneno kama haya yanapotoka kwa mzee wa Kitanzania, yanaondoka kabisa ile dhana ambayo vijana tumejijengea kuwa UZEE ni kisima cha HEKIMA NA BUSARA.

kumbe kuna wazee wengine nao ni bogus kabisa.
 
Maneno kama haya yanapotoka kwa mzee wa Kitanzania, yanaondoka kabisa ile dhana ambayo vijana tumejijengea kuwa UZEE ni kisima cha HEKIMA NA BUSARA.

kumbe kuna wazee wengine nao ni bogus kabisa.
vpi ile hoja yenu ya kutorusha bunge live mmefikia? mnaanda muswaada wa sheria?
 
Sasa nimeamini CHADEMA hamna kitu kabisa.

Yaani hata kwa hili mnamsupport Ndesamburo? Zidumu fikra za mwenyekiti!
 
vpi ile hoja yenu ya kutorusha bunge live mmefikia? mnaanda muswaada wa sheria?
Nani amekwambia mimi ni Mbunge.

Kwa kukusaidia nenda kasome kanuni za bunge vifungu vya 44(1), 68(i), 70(4) na cha muhimu zaidi malizia kwa kusoma kifungu cha 103(2) ili upate jibu lako.

Jaribu kuushughulisha angalau kidogo ubongo wako
 
wananchi hatupendi upindishwaji wa kanuni zinazofanywa na spika na naibu wake ili kuilinda ccm na serikali yake, wananchi tuna matatizo makubwa na hoja za msingi eti kwa sababu zimeletwa na wapinzani basi zinapingwa chini -- ni wale tu wafaidikao na mfumo huu ndiyo watakaotetea jambo hili. wabunge wanakwenda bungeni kutetea wananchi / kuisimamia serikali kutimiza majukumu yake; sasa hili nao unataka tukufundishe?

Ungekuwa unasomesha watoto wako shule za kayumba / kata -- ungekuwa na busara
Ungekuwa unategemea watoto wako wakiugua uende mwananyamala au amana hosp. -- ungekuwa na busara
ungekuwa unaishi ubungo, kimara na unanunua dumu moja la maji sh. 500 kila siku - ungekuwa na busara
ungekuwa unaishi chini ya sh. 1000 kama walivyo watanzania zaidi ya 80% ungekuwa na busara

all in all, jifanye hamnazo ili ungange njaa!!! mpo wengi tu katika nchi hii. tena waambie na wenzio msilionyeshe bunge live ili tusijue kinachoendelea humo ndani.

Asante sana mzee wangu kuwaambia ukweli - tena nakumbuka miaka ya nyuma ulishawapasha tena waache tabia ya kuwaibia watanzania maskini, watafute pesa kwa akili na jasho lao -- bado hawajasikia.

Move on ndesa....
Nakubaliana na ulicho sema, ila siungi mkono Bunge letu kuwa kama kilabu cha Gongo (pombe za kienyeji) kinacho wapasa wabunge wetu wapambane kwa hoja zilizo hai, na si vinginevyo. Kurushiana nguvu ni ishara ya utovu wa nidhamu, je italeta suragani pindi Bunge letu likiwa ni lawatovu wa nidhamu? Vijana nchi munaipeleka machafukoni hii!
 
Nani amekwambia mimi ni Mbunge.

Kwa kukusaidia nenda kasome kanuni za bunge vifungu vya 44(1), 68(i), 70(4) na cha muhimu zaidi malizia kwa kusoma kifungu cha 103(2) ili upate jibu lako.

Jaribu kuushughulisha angalau kidogo ubongo wako
mkuu shughulisha ubongo wako kidogo kujaribu kuelewa mantiki nzima ya maoni ya Mh Ndesamburo alipokuwa anajumuisha hoja yake hiyo ili uwafahamishe na wenzako. Changamoto zilizopo kwenye jamii yetu ni nyingi sana ( kiuchumi, kijamii na kisiasa) je zina impact gani ndani ya Bunge?, Je zina impact kwenye usalama wa taifa? nini kufanyike ili kuzikabiri?. Je athari zake ni zipi kama hizi changamoto hazitakuwa addressed kwa wakati muafaka? nani wa kufanya jukumu hilo?

Sasa mtu anayeogopa challenges zinazomkabili atafikiria kuzuia bunge lisirushe matangazo live ili wananchi wasijue kinachoendlea akisahau kwamba habari sasa hivi zinawafikia watu wa njia nyingi mno, atazuia mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani ili wasitoe mrejesho wa udhaifu wa serikali yetu bungeni; atafikiria kutumia vyombo vya dola kudhoofisha vyama vya upinzani; atafikiria hata kupindisha kanuni za bunge ili hoja inayoikaba serikali toka kwa upinzani isipite na mambo kama hayo!

Sasa mtu huyu ni hatari zaidi ya zile ngumi alizosema mzee Ndesa!!
 
Hajasema uwongo mzee kama uwongo tafuta clip ya video ya bunge la ukraine uone wabunge wanavyochapana makonde sio hivyo mwaka jana tu kuna mbunge mmoja japani aliingia na explosive akaaiachia bungeni kushindikiza bunge kumsikiliza hata hapa tz ili tuheshimiane bakola lazima ziteembee!!!!!!!.
 
ni jambo la msingi sana,naunga mkono bungeni zichapwe kama hakieleweki hasa nataka ndugai apigwe kipigo cha mbwa mwizi,ndesa yupo fiti sana.
 
kauli na umri vitu viwili tofauti

maneno ya bar haya
 
Hajasema uwongo mzee kama uwongo tafuta clip ya video ya bunge la ukraine uone wabunge wanavyochapana makonde sio hivyo mwaka jana tu kuna mbunge mmoja japani aliingia na explosive akaaiachia bungeni kushindikiza bunge kumsikiliza hata hapa tz ili tuheshimiane bakola lazima ziteembee!!!!!!!.
kaka wanayajua yote haya ila washaona watanzania ndiyo watu wa kujifunzia kunyoa.
 
Back
Top Bottom