Ndesamburo: Ngumi zitapigwa bungeni

Ndesamburo: Ngumi zitapigwa bungeni

mkuu shughulisha ubongo wako kidogo kujaribu kuelewa mantiki nzima ya maoni ya Mh Ndesamburo alipokuwa anajumuisha hoja yake hiyo ili uwafahamishe na wenzako. Changamoto zilizopo kwenye jamii yetu ni nyingi sana ( kiuchumi, kijamii na kisiasa) je zina impact gani ndani ya Bunge?, Je zina impact kwenye usalama wa taifa? nini kufanyike ili kuzikabiri?. Je athari zake ni zipi kama hizi changamoto hazitakuwa addressed kwa wakati muafaka? nani wa kufanya jukumu hilo?

Sasa mtu anayeogopa challenges zinazomkabili atafikiria kuzuia bunge lisirushe matangazo live ili wananchi wasijue kinachoendlea akisahau kwamba habari sasa hivi zinawafikia watu wa njia nyingi mno, atazuia mikutano ya hadhara ya vyama vya upinzani ili wasitoe mrejesho wa udhaifu wa serikali yetu bungeni; atafikiria kutumia vyombo vya dola kudhoofisha vyama vya upinzani; atafikiria hata kupindisha kanuni za bunge ili hoja inayoikaba serikali toka kwa upinzani isipite na mambo kama hayo!

Sasa mtu huyu ni hatari zaidi ya zile ngumi alizosema mzee Ndesa!!

Hiki ulichoandika hapa ni maneno mengi yasiyobeba uzito wowote wa hoja iliyo mezani.

Hiki alichokisema Mzee Ndasamburo ni kuharalisha uvunjifu wa sheria kwa watunga sheria achilia mbali utamaduni tuliojijengea katika jamii. Hii dhana ya kwamba kwa sababu bunge kwa sasa lina vijana basi ni ruhusa kurushiana ngumi ni kutojali utawala wa sheria ambazo wao ndiyo watungaji.

Kama kurusha ngumi kwa CHADEMA inakubalika ili kupata haki ndani ya bunge haina tofauti na mwananchi nje ya bunge kujichukulia sheria mkononi ili apate haki.

Kama kwa CHADEMA kukabiliana na changamoto kwa haraka na wepesi ndani na nje ya bunge ni kutumia mabavu mpaka kupigana wasije wakaanza kushangaa pale watu wanapoanza kukabiliana na changamoto mbali mbali kwa njia ya uvunjifu wa sheria ili haki ipatikane kwa haraka.

Kwa kauri yake hii, inaonyesha huyu Mzee ni bogus kabisa.
 
Natamani hizi ngumi zikianza watualike tukawasaidie kuwatia ngeu baadhi ya wabunge mafisadi ambao serikali imeshindwa kuwaadabisha.lol!
 
...pindi mapambano ya ubingwa wa ndondi yatakapoanzishwa Bungeni kama alivyopendekeza Mzee Ndesambulo, napendekeza pambano la kwanza liwe la "Ndesambulo" dhidi ya "Mzee wa Kuudadadekii"; ila sijui kama Ndesa atatoka na roho yake...
 
Alisema siasa za sasa ni za vijana, si za wazee kama ilivyokuwa huko nyuma na kwamba wazee wanapaswa kuelewa kuwa nyakati zimebadilika.

Nimeipenda sana hii kauli yake bila shaka ataifanyia kazi maana sidhani kama bado anajiona kijana hadi sasa.
 
Huyu mzee anazeeka vibaya sasa anataka watu wapigane ngumi bungeni yeye ataweza kurusha ngumi.

Thinking in reverse gear.
Angalia utakutana na mlingoti wa chuma!
 
Vipi Mzee Ndesa mbona hajazungumzia kung'atuka????
Na kwa mada hii, mzee akila ngumi moja tu, hata lile stray punch lililoelekezwa kwa wapinzani wake na kukosea njia, matokeo yake nasita kutabiri
 
hahahahahaha umeonaeeee, Mzee anatambua nafasi ya vijana lakini bado ameng'ang'ana tuu
Na kwa mada hii, mzee akila ngumi moja tu, hata lile stray punch lililoelekezwa kwa wapinzani wake na kukosea njia, matokeo yake nasita kutabiri
 
Kazee kametoka hospitali juzi kanataka kupigana ngumi bungeni. Hahahaaaaaaaaaaaaa
 
NDESA PESA..sijakuona siku nyingi mzee wangu,kile kisuzuki bado unacho? Naskia ulinunua Hummer ...hahhaha naskia pia unastaafu duh Moshi will miss u.
All the best Kamanda.
 
Ritz heshima yako kaka,
najua tunazungumza lugha moja.
[TABLE="width: 636"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 54, bgcolor: transparent"]1 Timotheo[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]5[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]17[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Wazee watawalao vema na wahesabiwe kustahili heshima maradufu; hasa wao wajitaabishao kwa kuhutubu na kufundisha.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Timotheo[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]5[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]18[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Kwa maana andiko lasema, Usimfunge kinywa ng'ombe apurapo nafaka. Na tena, Mtenda kazi astahili ujira wake.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Madam, am happy with your brilliant contribution; However I doubt whether the targeted recipient (Ritz-moko) will be in a position to understand the contents of your post, because the guy has a lower thinking capacity I had never seen.

"Remember Like father, like son".
 
Mkuu mbona hamna redi hapo au umeteleza kidogo!

[h=2][/h]
quote_icon.png
By Mamndenyi
kwetu tunamwita 'NDESA PESA' ana pesa chafu.




Mkuu hapo kwenye red sijakusoma. Je unaelewa nini maana ya pesa chafu?


"Uzuri ni kipimo cha Ubaya"
 
Mzee Ndesa, sasa huku tunaone hizo ngumi wakati TV hatuna?
 
Huyu mzee ukitaka kujua kama anaweza kurusha ngumi au la ..muulize tangu mwaka 2000 mpaka leo ametekeleza ahadi ngapi Jimboni kwake
 
mimi namzungumzia Mzee Ndesa, ingekuwa hoja ya Mzee Kingu naye ningesema jambo. All in all nimefurahi maana Mzee Ndesa katambua nafasi ya vijana. Kwa maana hiyo naye ajitafakari sasa........
Kwani amefikia umri wa Kingunge Ngombale Mwiru? Umri wa Kingunge ndo standard age wa kustaafu siasa Tanzania!
 
Compilation of World Leaders Getting In Fights - YouTube



Kujua habari ni bure, kanuni na sheria zikifwatwa hakuna sababu za mtafaruku, hawa pia walipishana kuhusu kufwata kanuni na mwishowe inakuaga hivi.



Safi sana, yaani sisi tunajifanya wastaarabu wakati ni maskini wa kila kitu. Angalia jamaa wenye uchungu na nchi zao wako tayari kwa lolote TUTAKE TUSITAKE LAZIMA TUTAFIKIA HUKO NA WAKATI HAUKO MBALI KUFIKIKA HUKO labda mabadiliko makubwa yafanyike
 
Last edited by a moderator:
Huyu mzee akizabuliwa kofi lazima meno ya kubandika yachomoke.
 
Back
Top Bottom