Ndesamburo aagwa kwa mara ya pili

Ndesamburo aagwa kwa mara ya pili

Hapo kwenye kukataza kupiga picha kesho tu utasikia oohhh mzee Ndessa hajafa. Theories kama za Ivan zitaanza
 
Kwani marehemu aliwatendea kosa gani?maana naona mmeamua kumkomesha alohhhh!!!
Si mnasemaga mtu akifa inabidi akapumzike kwenye nyumba yake ya milele?sasa nyie mbona bado mnamtumikisha???????
 
Afu una-uta mtu anazuia marehemu asiagwe kwenye viwanja fulani anasahau nae kuna siku atakuwa amelala kwenye jeneza anaagwa?

Rip kamanda
 
Jaman mi nisiwe mnafik,yeye apumzike kwa aman ila mi nataman ningekuwa mwanaye,maana ukipumzika ni kugawana ulichoacha!Usiwa kwa watoto,wagawane mali kwa haki,waache mambo ya kirudhuku rudhuku anayofanya mbowe!Rip mzee,neema umeiacha
 
Awali wafuasi na wanachama wa Chadema walifurika nyumbani kwa Ndesamburo kwa ajili ya kuandamana kupelekwa mwili wake kanisani.

Jamani chadema leo mlitakiwa muiachie familia na wasemaji wa familia.bado tu mnapora ya kwenu ya kisiasa na mabendera si mlifanya jana? Leo ilitakiwa kisiweko chochote cha kichama ili watu wasiopenda chadema na viongozi wa vyama mbali mbali na serikali wawe free kuhudhuria.

Sijapenda hili la SELASINI kuendelea kuwa msemaji.wapishe wazee wa ukoo au ndugu wa ndesamburo leo ndio washike usukani wa shughuli yao.

Jana mlisema chama kinaaga sasa na leo mumo tu mnakera.Familia ya ndesamburo mumeipora madaraka yote
 
akwakweli daaaaaaa we acha tuu alikuwa na moyo mzuri sana alale salama tutaonana badae
Umati huu unadhihirisha namna ulivyowatendea watu wa moshi uungwana na utu bila kujali dini kabila wala itikadi zao. nenda gwiji wa demokrasia Moshi nenda baba wa mageuzi nenda mtu wa watu. Kalale peponi NDESAPESA[/QUOTE
 
Screenshot_2017-06-06-13-20-26.jpg
 
Back
Top Bottom