Katika hizi teuzi za nafasi kubwa serikalini ni vizuri kuteua watu ambao umri umeenda kidogo ili kulipungizia Taifa gharama ya kuhudumia Wastaafu kwa miaka mingi ijayo.
Mtu kama Ndejembi akiwa makama wa Rais Sasa kwa miaka mitano tu na yuko below 60 hata Nchimbi for God sake watakula hizo 80% kwa miaka mingine 20 to 30 ijayo kwa jambo gani spesho hasa waliloifanyia nchi hii!?
Mtu kama Ndejembi akiwa makama wa Rais Sasa kwa miaka mitano tu na yuko below 60 hata Nchimbi for God sake watakula hizo 80% kwa miaka mingine 20 to 30 ijayo kwa jambo gani spesho hasa waliloifanyia nchi hii!?