Ndege za watu mashuhuri mbali mbali duniani

Ndege za watu mashuhuri mbali mbali duniani

Mkuu hiyo ndege ya njano ungeiweka kabla haijapata ajali ungekuwa umemtendea haki sana mmiliki kuliko kuiweka baada ya kusambaratishwa na mti.
 
Mkuu hiyo ndege ya njano ungeiweka kabla haijapata ajali ungekuwa umemtendea haki sana mmiliki kuliko kuiweka baada ya kusambaratishwa na mti.

Hata ingewekwa nzima, sidhani kama gharama yake ina nunua tairi za ndege ya P didy !
 
we ulikua unamjua babu katika maisha yake? Au mpaka kafariki ndo unamjua. kashindwa kuendesha hicho kitaka taka vumbi ataiweza boing? Mtoe hapo kwa kina dangote! Mueke katika list za kina diamond.
 
Haki ya nani !!! Hiyo ya sabmeke ni ndege aina gani ? Bei yake ni shilingi ngapi? Mnanunua sraper halafu zinatumaliza.

Ni moja kati ya zile zilizouzwa Tsh 500,000/- za idara ya kilimo (kupambana na nzige) ambazo ziliwashinda !
 
we ulikua unamjua babu katika maisha yake? Au mpaka kafariki ndo unamjua. kashindwa kuendesha hicho kitaka taka vumbi ataiweza boing? Mtoe hapo kwa kina dangote! Mueke katika list za kina diamond.

............tena Diamond na Sharomilionea !
Tehee tehee tihiii hiii !
 
DJ TIESTO

1584615.jpg
 
resident of the Dangote Group of Companies Alhaji Aliko Dangote has acquired a Bombardier aircraft for his private uses. The jet is valued at $45m. Its acquisition coincided with his 53rd birthday on Saturday.
Z





MUKESH AMBANI



2Q==
''




images









DIDDY

images







BILL GATES

images



071509_1033_10MostFamou4.jpg



WARREN BUFFET

images



JIGGA MAN
JAY Z

images


SHEIKH RASHID OF DUBAI

airbusa380.jpg


aerioninterior.jpg


bcnair112.jpg


OBAMA

2Q==


QUEEN ELIZABERTH

9k=


RAISI WA CHINA

images


JK

1.jpg


BABU SEMBEKE (R.I.P)

ajali_sembeke.jpg



Una maana gani kuweka Ndege ya Sambeke hapo chini?..Is it supposed to be a joke or something?!!...!
Soma uelewe aina za ndege na gharama zake, hiyo ya sambeke na yenyewe ni Ndege in its class, unavolinganisha na Jets za hao World Billionaires sioni point yako. Wabongo hatuna maana, mtu unatembea kwa miguu unamdharau mwenye Vitz!!! you are low!
 
Hata ingewekwa nzima, sidhani kama gharama yake ina nunua tairi za ndege ya P didy !
Mkuu ni katika kutenda haki tu, kwa sababu unapofanya comparison angalau hivyo vitu viwe katika hali iliyo sawa na usawa pekee ninaouona ni ama ndege zote ziwe hazijapata ajali au zote zilinganishwe baada ya kupata ajali. Kwa suala la bei hapo ndo comparison ilipo zingine ziko juu sana na hiyo ya bilionea wa Arusha lazima itakuwa ya bei ya chini sana pengine inazidiwa hata na VX V8 za serikali.
 
Watanzania kwa kujishebedua!!! Hii ndege ya babu Sambeke ina ubaya gani kwani amenunua kulingana na mahitaji yake? Hana safari za nje kama za hawo wamiliki wengine.

After all we must be proud angalau kati ya waTZ Mil 49 angalau Sambeke yuko miongoni mwa waTZ 10 wanaomiliki ndege iliyokuwa inapaa angani kama ndege nyingine.

Hivi akatokea mtu akakupa zawadi ya ndege ya hata watu 4 utakataa kisa haifanani na ya Bill gate au akina Beckham.?
 
965 Piper Cherokee Six 260
Reg # N3414WSerial # 32-276
Price: $ 53,900
TTAF: 5,156 Hrs.Location: FL, US
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="align: center"]Seller: Christopher Mitchell[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="class: x-table-layout"]
[TR]
[TD="class: x-table-layout-cell"][TABLE="class: x-btn header-images-left-arrow x-btn-icon x-item-disabled, width: 20"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD="class: x-btn-mc"][/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="class: x-table-layout-cell"][TABLE="class: x-table-layout"]
[TR]
[TD="class: x-table-layout-cell"]1[/TD]
[TD="class: x-table-layout-cell"]of[/TD]
[TD="class: x-table-layout-cell"]12[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="class: x-table-layout-cell"][TABLE="class: x-btn header-images-right-arrow x-btn-icon, width: 20"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD="class: x-btn-mc"][/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

IMG_0020%20%28Copy%29_sp_1_sp.JPG


kuna hizi zinauzwa bei ndogo kuliko vogue.

[TABLE="width: 768"]
[TR]
[TD]
1998 Diamond Eclipse DA20-C1

Reg # N107CLSerial # C0007
Price: $ 55,900
TTAF: 4,450 Hrs.Location: OH, US​

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="align: center"]Seller: Bill Christian[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[/TD]
[TD] [TABLE="class: x-table-layout"]
[TR]
[TD="class: x-table-layout-cell"][TABLE="class: x-btn header-images-left-arrow x-btn-icon, width: 20"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD="class: x-btn-mc"][/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="class: x-table-layout-cell"][TABLE="class: x-table-layout"]
[TR]
[TD="class: x-table-layout-cell"]2[/TD]
[TD="class: x-table-layout-cell"]of[/TD]
[TD="class: x-table-layout-cell"]3[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD="class: x-table-layout-cell"][TABLE="class: x-btn header-images-right-arrow x-btn-icon, width: 20"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD="class: x-btn-mc"][/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

107CL%20Exterior%20LG2_sp.JPG
107CL%20Exterior%20LG_sp.JPG
N107CL%20Interior%20Lg2_sp.jpg







[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Airframe & Power Systems Information
 
Nimecheka hadi colleague wanauliza kulikoni nikakaa kimya dah huyu mzee kifo chake kilikuwa hakijafika haki yanani nikifo cha kusababishwa sasa hii ilikuwa ndege yakujifunzia???au ya kumwagilia masikini akawa anasema anandege!!!
 
Nilitegemea ungeiweka ile aliotuwa nayo Tajiri wa Chelsea Roman Abrahomovich kisha akaitelekeza JKNIA yeye akaenda kupanda mlima Kilimanjaro
 
watu wanasema Tz ina watu wana pesa ila sijaona ata mwenye ndege, kama hiyo ya Didy,mtu akiwa na vogue iliyotumika kutoka dubai tayari anawekwa kwenye list ya mabilionea! ila ni sawa wengi tunanjaa.
Bongo wote tuna njaaa... Unawekwa kwenye list ya mafisadi kabisa
 
Una maana gani kuweka Ndege ya Sambeke hapo chini?..Is it supposed to be a joke or something?!!...!
Soma uelewe aina za ndege na gharama zake, hiyo ya sambeke na yenyewe ni Ndege in its class, unavolinganisha na Jets za hao World Billionaires sioni point yako. Wabongo hatuna maana, mtu unatembea kwa miguu unamdharau mwenye Vitz!!! you are low!

...........teehee tehee tihii tihi ! ....umepanic brazah !
 
hujamtendea Marehemu Sembeke haki..
yeye ana 206 .. Ndege safi sana kwa bush flying .

Na acheni madharau .
Na nyie wekeni zenu basi kama mnazo .

Ndege ni ndege . iwe Cessna 150,152, 172 ama cherekee 140, 180.. au Dash 8......etc
zote ni ndege.
 
Ni moja kati ya zile zilizouzwa Tsh 500,000/- za idara ya kilimo (kupambana na nzige) ambazo ziliwashinda !

Asante mkuu Ally Kombo, yaani utasikia eti mtu ana ndege kumbe hata pikipiki za Mchina ni ghali kuliko ndege yenyewe. Sasa ikipoteza nguvu ikagonga miti ndipo mnaanza kulia na kushangaa!!
 
Back
Top Bottom