Ndege za ATCL zaanza safari Mwanza - Dar

Ndege za ATCL zaanza safari Mwanza - Dar

Uwezo wa ndege ni abiria 70 hao 20 walisimama?
 
Waaandishi wetu kweli ni tatizo, sasa ndege yenye uwezo wa kubeba abiria 76 ilibebaje abiria zaidi ya 90......??? Ndo maana Mkapa alikua anawachana tu, watu failures ndo wanakimbilia uandishi siku hz, shame on you.....
Litakuwa gazeti pendwa la 'Freedom'
 
Siyo tatizo kwa waandishi sababu wao waliambiwa hawakuanza kuhesabu watu na siyo kazi yao kupanga watu kwenye ndege.
 
Waaandishi wetu kweli ni tatizo, sasa ndege yenye uwezo wa kubeba abiria 76 ilibebaje abiria zaidi ya 90......??? Ndo maana Mkapa alikua anawachana tu, watu failures ndo wanakimbilia uandishi siku hz, shame on you.....

wengine ni makada watoto wa maskani
 
Mimi hapo waliposema kuwa wamebeba Abiria zaidi ya 90 wakati uwezo wa juu kabisa ni kubeba abiria wasiozidi 76 ndipo pamenichosha kabisa.

Sijui ni lini tutaendelea?
 
Mbona hawafanyi promo ya kutosha ya hizo ndege kama mashirika mengine, wajitahdi matangazo wasiwe kama TTCL,
Na hiyo lugha kila kitu sijui utekelezaji wa ahadi msizipende sana, fanyeni biashara.
Tatizo lao kubwa ni marketing strategy na poor customer care
 
Back
Top Bottom