Ndege za ATCL zaanza safari Mwanza - Dar

Ndege za ATCL zaanza safari Mwanza - Dar

Nafikiri wengine walishikilia bomba....
Labda kama ndege ilikuja ikawa na first class configuration halafu wakaitoa na kuweka all economy class hapo idadi ya seat zinaweza kubadilika kabisa,otherwise watoe explanation zingine
 
Juzi tarehe moja fast jet walikua wana one day sale kwa 79000 kwenye trip zake

Atcl wafanye biashara.Uzalendo uende na huduma nzuri

Fastjet wanatoa ushindani sana
Hiyo promo huwa wanaifanya kila mwaka ni miaka iliyopita ilikuwa cheap kuliko hiyo,kwa sasa nauli minimum ya Fastjet kwenda Mwanza ni 88,000 +13,000 ya kodi =101,000 ni hii ni uki-book kuanzia wiki moja kabla,otherwise unasafiri hadi laki 4
 
Waaandishi wetu kweli ni tatizo, sasa ndege yenye uwezo wa kubeba abiria 76 ilibebaje abiria zaidi ya 90......??? Ndo maana Mkapa alikua anawachana tu, watu failures ndo wanakimbilia uandishi siku hz, shame on you.....
Ndio maana wakati mwingine najiskia kuunga mkono mswada mpya wa habar japo kwa shingo upande. shame on them
 
Mbona tuliambiwa hizo ndege zinauwezo wa kubeba abiria sabini na tano, sasa hao tisini wengine walikaa wapi
 
Hii itakiwa ni nyingine mpya nini
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Mhhhh hii kali abiria zaidi ya 90 au walikosea kuhesabu viti wakati zinanunuliwa au walizifanyia manuva wati zilipo kuja.Au wengine walipewa vigoda?
 
Mbona walisema inabeba abiria 76 sasa imebeba zaidi ya 90 imekuaje au imeweka kigoda?
 
Kweli kabisa mkuu. Nimeshangazwa na neno ambalo lipo kisiasa zaidi "uzalendo", hapa jambo linalotakiwa kuwashawishi wateja kibiashara zaidi kwa huduma bora zinazokidhi viwango na nafuu tukilinganisha na kampuni binafsi kama ulivyoandika mkuu
Neno "uzalendo" linatumika ndivyo sivyo kabisa mkuu.
Hata kupanda fastjet bado ni uzalendo pia maana wanalipa kodi nk.
Hapa ATCL waboreshe Huduma zao pamoja na nauli zao kuwa chini ya fastjet. Wao ndio wawe wazalendo kwanza. Uzalendo ni two way traffic.
 
Back
Top Bottom