Ndege ya Urusi imepotea kwenye rada

Ndege ya Urusi imepotea kwenye rada

Ipotee tu nao waonje machungu kama wanavyo waua wananchi wa syria na aleppo
 
Daily Mail 91 people on board
ALJAZEERA 81
BBC over 100 people

Kremlin watoe tamko la uhakika, halafu hivi majuzi ndege ya Urusi imeanguka Siberia.
 
Yes! Trust me,
Kama mwezi wa december huu halia ya hewa ya urusi ni mbaya sana, fog, snow etc.
In other side hata ndege zao za aeroflot zinadondoka sana.

And dont overstimate.. Jeshi la urusi sio kama ulivyomezeshwa na wauza kahawa.
Hawa jamaa wanajiamini tu sana but in reality hakuna kitu.
Worse!
Are you sure!!!!
 
Nadhani imefanywa kuonekana kama ni technical problem lakini si kweli.
Hii ni ile indirect way ya kulipiza kisasi
ambayo Obama
mwenyewe aliisema,Putin Mwenyewe anajua hivyo.
 
69c8d23e16fcf710c13b772ff0839615.jpg
walikua wanaenda kusherekea X-mass baada ya kuwalipua watoto na wazee waishio Damascus na Allepo.
Basi Muumba wa wazee na watoto waliolipuliwa ameamua kujibu mapigo
 
Nadhani imefanywa kuonekana kama ni technical problem lakini si kweli.
Hii ni ile indirect way ya kulipiza kisasi
ambayo Obama
mwenyewe aliisema,Putin Mwenyewe anajua hivyo.
Hii inawezekana US yupo behind hii kitu maana toka Obama atoe ile kauli kwamba ataiadhibu Russia ni mwendo WA matukio tu kuanzia ile ya watu hamsini kufa kwa kunywa bia kudhan sabun, kifo cha baloz,hii ya ndege na bado mengine kibao.
 
Kwa kufikili kwa upesi unaweza zania kwamba labda icho ni kisasi,lakini nnavyofikili mimi iyo ni ajali kama ajali nyingine na natoa pole kwa familia ya wanajeshi wa urusi na taifa zima la urusi,sasa kwa wale wanaofikili labda obama ameanza kulipa kisasi nadhani mmewai kufikili kwa haraka obama atoweza kulipa kisasi kinachofanana na walichokifanya urusi ata akilipa akitakua na athari kubwa kama waliyoipata wao ya kuchaguliwa raisi kama anavyodai obama,na ata kama kisasi chenyewe ni cha njia ya namna iyo ya kuuwa wanajeshi basi inadhihirisha wazi marekani wameshindwa katika vita ya tecnologia na iyo inadhihilisha kwamba russia anakuja kua na nguvu kubwa kwa sababu izi iwapo kama russia atabaini kwamba vifo vya wanajeshi ni mbinu ya kisasi cha marekani atokubali lazima atataka kufanya kubwa zaidi ya alilolifanya kwa kuchagua raisi wa marekani kama anavyodai obama,na mpaka sasa russia wana attension na kauli ya obama tutegemee kuona marekani akisalenda katika hii vita maana ni vita isiyokua wazi na inampa fursa kila upande kuonyesha ubabe wake kwa njia ya kuviziana sasa basi hapo tutegemee mpasuko mkubwa katika mataifa aya makubwa ulimwenguni na kama itatokea ivyo atakayekua ananufaika na iyo vita baridi ni russia kwa maana atakua ameshapewa nafasi ya kuonyesha ufanisi wake katika suala zima la tecnolojia basi lazima atazidi kupata washirika zaidi na iyo ndio inyomfanya marekani kua sauti maana karibu mataifa yenye nguvu yapo nyuma yake,nawasilisha kama nilivyotafakali ila sio lazima iwe kama nilivyoandika natanguliza samahani kwa yeyote atakayepata tabu katika huandishi wangu bado natumia jamii forum katika kujifunza kupitia nyinyi wadau
 
Back
Top Bottom