Ndege ya Urusi imepotea kwenye rada

Ok.. obvious they are dead..!!

Reasons:

1: Once an airplane lost radar contact, definitely transponder is gone dead..!!

2: As well NO TWO-WAY communication between the ATC tower and the Pilot, this means no communications at all...!! Radios are dead..!!

3: No initial distress call that pilot made to ATC tower..

4: If it was hijacked, usually pilot will press 7700 on transponder, to trigger distress and alert ATC tower they are hijacked, without any verbal call, but no hijack signals..!!

Chances of survival is 00%..

Is U.S.A behind this? too early to comment, let's wait..!!

Merry-Chrismas & Happy New Year 2017..View attachment 450103

Asante.Umewaza kama mimi,maybe better.
 
Heshima yako MALCOM - Merry Xmas, kitu cha kwanza kumbuka kwamba ingawa ndege aina ya TU-154 zilihundwa miaka ya nyuma sana lakini kitendo cha kupotea kwenye rada bila ya marubani kutoa taarifa yoyote kwa waongoza ndege ina maana lilitegwa bomu kwenye cockpit au mmoja wa cabin crew alingia chumba cha marubani amevaa mkanda wa high explosive na kujilipua, kumbuka Urusi ina makabila ya watu mbali mbali wengine wenye akili fyatu ambao wanaweza kurubuniwa na majasusi wa magharibi kuweka bomu wakati wanasafisha ndege,kuweka vyakula
au wakati wana-refuel.

Hii inaonekana it was a well planned operation ya kuhangamiza cream ya wanajeshi muhimu waliokuwa wanakwenda Syria wengi wao wakiwa ni na pilots wa fighter jets, mafundi na ma-instructors, binafsi nafikiri hujuma kama hizi sina shaka Urusi ilijua zinaweza kutokea kutokana na sympathizers wa waasi wa Syria, NATO specifically America na Uingereza hao ndio wako obsessed na Urusi, mafanikio ya kijeshi ya Taifa hilo nchini Syria limeaabisha Mataifa hayo, juzi juzi niliwasikia Majenerali wa jeshi la Merikani wakilalamika kwamba silaha zilizo tumiwa na Warusi nchini Syria hazikuwa na ulazima wowote eti silaha hizo zilitumiwa na Warusi wakiwa na lengo la kuitisha Amerika na washirika wao - just imagine!!

Hata ndege ya Urusi iliyo lipuliwa kwenye anga la jangwa la Sanai wanasema wahusika walikuwa ni majasusi wa Uingereza ndio waliwapa bomu wafanya kazi wa kuhudumia ndege ikiwa aridhini wakaliweka chini ya kiti cha abiria, ndiyo maana vyombo vya habari vya MSM vilikuwa vya kwanza kutangaza ajali hiyo, walijuaje? Tutegemee hujuma kama hizo dhidi ya Taifa la Urusi zitaendelezwa tu - cha muhimu Warusi wawe makini sana na wafanyakazi kwenye viwanja vya ndege nchini mwao ambavyo ni critical kwa operations zao nchini Syria.

Binafsi siamini kama ndege hiyo was brought down by a MANPAD ambazo Obama alipania kuwapatia waasi kabla hajaondoka Ikulu. Mkuu that's my plausable explanation, I might be wrong.
 
Heshima yako MALCOM - Merry Xmas, kitu cha kwanza kumbuka kwamba ingawa ndege aina ya TU-154 zilihundwa miaka ya nyuma sana lakini kitendo cha kupotea kwenye rada bila ya marubani kutoa taarifa yoyote kwa waongoza ndege ina maana lilitegwa bomu kwenye cockpit au mmoja wa cabin crew alingia chumba cha marubani amevaa mkanda wa high explosive na kujilipua, kumbuka Urusi ina makabila ya watu mbali mbali wengine wenye akili fyatu ambao wanaweza kurubuniwa na majasusi wa magharibi kuweka bomu wakati wanasafisha ndege,kuweka vyakula
au wakati wana-refuel.

Hii inaonekana it was a well planned operation ya kuhangamiza cream ya wanajeshi muhimu waliokuwa wanakwenda Syria wengi wao wakiwa ni na pilots wa fighter jets, mafundi na ma-instructors, binafsi nafikiri hujuma kama hizi sina shaka Urusi ilijua zinaweza kutokea kutokana na sympathizers wa waasi wa Syria, NATO specifically America na Uingereza hao ndio wako obsessed na Urusi, mafanikio ya kijeshi ya Taifa hilo nchini Syria limeaabisha Mataifa hayo, juzi juzi niliwasikia Majenerali wa jeshi la Merikani wakilalamika kwamba silaha zilizo tumiwa na Warusi nchini Syria hazikuwa na ulazima wowote eti silaha hizo zilitumiwa na Warusi wakiwa na lengo la kuitisha Amerika na washirika wao - just imagine!!

Hata ndege ya Urusi iliyo lipuliwa kwenye anga la jangwa la Sanai wanasema wahusika walikuwa ni majasusi wa Uingereza ndio waliwapa bomu wafanya kazi wa kuhudumia ndege ikiwa aridhini wakaliweka chini ya kiti cha abiria, kwa hiyo hujuma hiyo zitaendelezwa tu - cha muhimu Warusi wawe makini sana na wafanyakazi kwenye viwanja vya nchini mwao ambavyo ni critical kwa operations za nchini Syria.

Binafsi siamini kama ndege hiyo was brought down na MANPAD ambazo Obama alipania kuwapatia waasi kabla hajaondoka Ikulu. Mkuu that's my plausable explanation, I might be wrong.
Iliyokua ndan ya ndege ni team ya kikundi cha jeshi cya utumbuizaji kilichokua kinaenda kwenye sherehe kwenye airbase ipo syria

According to my source
Report: Russian military plane with 91 aboard crashes en route to Syria

Ila lolote ni possible,
 
Iliyokua ndan ya ndege ni team ya kikundi cha jeshi cya utumbuizaji kilichokua kinaenda kwenye sherehe kwenye airbase ipo syria

According to my source
Report: Russian military plane with 91 aboard crashes en route to Syria

Ila lolote ni possible,

Lo afadhali, lakini kumbuka jeshi si rahisi kusema kila kitu - nakumbuka bendi kama hiyo iliwahi kwenda Syria kutumbuiza jwenye mji wa kale aliyo kombolewa na jeshi la anga la Urusi wakishirikiana na Syria, Iran na Hazibolah - sasa bendi ilitaka kwenda kutumbuiza mji gani? Aleppo!! Mji ambao bado una remnant ya waasi, Urusi haiwezi ku- risk wanajeshi/band wake kivile - hapa hawataki kutueleza ukweli.
 
69c8d23e16fcf710c13b772ff0839615.jpg
walikua wanaenda kusherekea X-mass baada ya kuwalipua watoto na wazee waishio Damascus na Allepo.
 
Mrusi japo hana ndege nyingi kama Marekani lakini Safety standard za ndege zake sio mzuri kipindi kirefu.Wapo wanaodai mrusi hafanyi planned maintenance ya ndege zake kwa wakati kutokana na ukata,lakini pia wapo wanaosema muundo wa ndege zake sio madhubuti,lakini pia wapo wanaosema marubani wao wako arrogant na niwalevi wa vodka,tofauti na ilivyokuwa Soviet Union
 
Kuna mtu alisema atachukua hatua za kulipiza, ngoja tuone mafahali hawa wawili wataishia wapi. Haingii akilini ndege ya nchi kama Urusi ipotee hivi hvi, hapo ipo vita ya mafahali wawili wanaonyeshana uchawi wao:(:(
Yani hata ungeandika kwa lugha ya Malkia hafu kwenye international forums kubwa! Ningesema tu aliyeandika haya ni Mtanzania!
 
Before any conclusive investigation anything ppl can say, but initial info is the plane crashed just after take off from a sea resort town of Sochi and it plunged into the sea. In aviation take offs and landings are the most critical parts of any flight and contributes most part of accidents, being human errors of technical malfunctions.
 
Yes! Trust me,
Kama mwezi wa december huu halia ya hewa ya urusi ni mbaya sana, fog, snow etc.
In other side hata ndege zao za aeroflot zinadondoka sana.

And dont overstimate.. Jeshi la urusi sio kama ulivyomezeshwa na wauza kahawa.
Hawa jamaa wanajiamini tu sana but in reality hakuna kitu.
Worse!
Mbona ndege ya jeshi la US ilipata ajali mwezi wa nane na siyo hilo tu na lingine pia lilipata dhoruba..haya masuala hutokea
 
Jameni kuna fursa hapa ya kutengeneza pesa nzuri tu,kwa Siku,wiki na hata mwezi.Kama were no kijana,baba mama au Mzee hii ndio fursa,
Chakufanya tembelea hii hapa link kwa maelezo zaidi

jamiiforums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
Wewe umetengeneza kiasi gani??
 
Maiti ya kwanza imegundulika katika ajali ya ndege ya kijeshi ya Tupolev TU 154. Maiti hiyo imepatikana kilometa 6 kutoka mji wa Sochi

The first body has been found 6 km from Sochi coastline following
the crash of a Russian Tu-154 airplane in the Black Sea, Russian
Defense Ministry spokesman Maj. Gen. Igor Konashenkov said
Sunday.

"A body of a person who died in Russia's Defense Ministry's
Tu-154 airplane crash has been found 6 km away from Sochi
coastline. The body has been lifted on board of the rescue vehicle,"
Konashenkov said.

Konashenkov said earlier on Sunday that a total of 92 people were
on board of Tu-154 that crashed in the Black Sea.

The plane departed from Sochi at 5.20am local time on Sunday, or
at 9.20pm EST. It disappeared from radars about 20 minutes
after takeoff.

DETAILS TO FOLLOW

First Body Found 6 Km From Sochi Coastline Following Tu-154 Crash in Black Sea
 
Back
Top Bottom