Mr. Bigman
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 2,560
- 1,301
Hata Mimi sijui, ila suala la Allepo linahusikaMe too,
Lakini ndege kubwa vile inapoteaje aisee?
Hata Mimi sijui, ila suala la Allepo linahusikaMe too,
Lakini ndege kubwa vile inapoteaje aisee?
I reserve my comments...
Mbona ndege ya jeshi la US ilipata ajali mwezi wa nane na siyo hilo tu na lingine pia lilipata dhoruba..haya masuala hutokea
Obama":Nitakushughulikia kabla sijatoka madarakani .
Tunangojea habari zaidi
watu wana utani wa NgumiUnafanya kazi coral paint?
Wewe ni kama umetumwa na AmericanWarusi ndege zao sio za kuaminika sana kama watu wanavyodhani.
Sishangai hata kidogo and im sure this might be a technical problem
Nakubaliana na wewe.Kuna mtu alisema atachukua hatua za kulipiza, ngoja tuone mafahali hawa wawili wataishia wapi. Haingii akilini ndege ya nchi kama Urusi ipotee hivi hvi, hapo ipo vita ya mafahali wawili wanaonyeshana uchawi wao🙁🙁
Nadhani jamaa anatania!Tena ndege ya Jeshi haipo vizuri? URUSI kabisaa? Kweli? I don't buy it😎
Lakini ukisema huo ukweli ndani ya Russia utakuwa kisusioWarusi ndege zao sio za kuaminika sana kama watu wanavyodhani.
Sishangai hata kidogo and im sure this might be a technical problem
Obama":Nitakushughulikia kabla sijatoka madarakani .
Sidhani kama alimaanisha kuishughulikia hii ndege kuukuu ambayo kabla ya kuanguka ilijaza mafuta.
Mkuu Richard Heri ya Krismasi, kitambo sana!
Pamoja kiongozi ,kupishana mawazo,hoja kupo .kikubwa tutangulize hoja mbele na siyo ushabiki au upenzi siku zote ushabiki hupelekea mtu kuwa bias ..Am gratefulMkuu Py thon huwa naheshimu sana mawazo yako kwasababu mara zote huwa unajitahidi kutoa hoja bila Bias,
Japo huwa tunapigana vikumbo vya hapa na pale lakini nakupa heshima zangu zote.
You are a descent man and a dignified intellectual.

hahaaaaaa,dah!Unafanya kazi coral paint?