Ndege ya Urusi imepotea kwenye rada

Ndege ya Urusi imepotea kwenye rada

Exactly mkuu, na nimeweka kwenye bandiko kuwa huwa wanazipa escort ya kijeshi kuivuka black sea. Walishawahi kutunguliwa na ndege aina hiyo hiyo humo humo black sea miaka ya nyuma wakidai ni wa Ukraine, kwa hilo wanajua.

Mkuu mwanzo nilikuwa na wasi wasi na watu walio husika ku-refuel ndege kwa mara ya mwisho, uwezi kujua waliweka nini au waliplant nini kwenye wing la ndege, wanaweza kuweka a magnetic mine.

Lakini walipo sema ndege ilipotea baada ya dakika ishirini kupita ina maana ilikuwa katikati ya bahari ambapo hakuna shuhuda aliyeona kilicho tokea, je, kuna watu walibeba MANPAD kwenye speedboats wakaitungua.wasi wasi kwamba wenda ikawa ilitunguliwa na MANPAD speedboats
 
Ujue udukuzi wa masuara ya uchaguz ambayo yaofanywa na warusi ni mambo ambayo barack wa obam yanamuumiza kila kukicha na meyb majasusi wa USA ndio wameiazima kwa muda huko angan watairudshaga mungu akipenda
 
Ilibeba wote wa band tu au kulikuwa wengine?
The defence ministry said the Tu-154 was carrying soldiers, 64 members of the famed Alexandrov military music ensemble, and nine reporters.
 
Hii ni kulipiza kisasi cha ile ndege ya Holland kutunguliwa ilipokatiza mpkn was Ukraine na Russia
 
kwa mbaaaaaaliiiii namuona rais Putin akiiwaza marekani.....let's see
 
Back
Top Bottom