Ndege ya Urusi imepotea kwenye rada

Ndege ya Urusi imepotea kwenye rada

Kuna mtu alisema atachukua hatua za kulipiza, ngoja tuone mafahali hawa wawili wataishia wapi. Haingii akilini ndege ya nchi kama Urusi ipotee hivi hvi, hapo ipo vita ya mafahali wawili wanaonyeshana uchawi wao🙁🙁

Mbona umemsahau Allah (S.W.T)? hawa walikuwa wanakwenda kutumbuiza kwa sherehe za mwaka mpya kwa majeshi ya Russia ambao wako kule Latikia Syria ambao wanawauwa waislamu na watoto wachanga bila ya hatia.
 
Aisee moderator hivyo vinembo vya x-mass vinaharibu na kuirritate avarter zetu. Ona kwenye avatar ya mwanzisha uzi mlivyomfanya. Nashindwa hata kuchangia uzi kwa amani kwa sababu ya hiyo kitu
======
Poleni sana warusi kwa misiba hii. Mungu awatie nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha masikitiko na majonzi. Amina.
 
Iliyokua imebeba wanabendi

Aseee

Ilikua na wanamuzikiwakienda kutumbuiza wajeda wezao Syria
Yeah, Urusi inabidi isuke kikundi kingine cha wahamasishaji/ bendi ya kijeshi. Ila ninaimani kwa ukubwa wake lazima itakuwa na vikundi vingine tu vya uhamasishaji. Jeshini ni muhimu sana kuwa na kitengo hiki
 
Yeah, Urusi inabidi isuke kikundi kingine cha wahamasishaji/ bendi ya kijeshi. Ila ninaimani kwa ukubwa wake lazima itakuwa na vikundi vingine tu vya uhamasishaji. Jeshini ni muhimu sana kuwa na kitengo hiki
Ilibeba wote wa band tu au kulikuwa wengine?
 
Kuna uwezekano wa kuwepo special forces humo kwenye ndege iloanguka commandos hao walikuwa wanapelekwa Syria ni wataalamu/manguli wa vita.
 
Iliyokua imebeba wanabendi

Aseee

Ilikua na wanamuziki wanaenda kutumbuiza wajeda wezao Syria
Ni wanamuziki wa jeshi,yani bendi sio wa kawaida lakini hilo ni ambalo tunaambiwa kwenye Media, inawezekana pia kulikuwa na watu wengine nje ya hao bendi
 
Kuna uwezekano wa kuwepo special forces humo kwenye ndege iloanguka commandos hao walikuwa wanapelekwa Syria ni wataalamu/manguli wa vita.
Kabisa hata mimi Mkuu ndio ninachofikiria hiko, maana wanaweza wasitangaze kuwa wanapeleka special forces, ni sehemu ya mbinu za mapigano. Katika hao 90 na unaweza kuta 40 ni special forces
Cc mtu chake
 
Kabisa hata mimi Mkuu ndio ninachofikiria hiko, maana wanaweza wasitangaze kuwa wanapeleka special forces, ni sehemu ya mbinu za mapigano. Katika hao 90 na unaweza kuta 40 ni special forces
Cc mtu chake
Yes tena hii ni planned mission sio salama kwa wataalamu kusafiri wengi pamoja maadui wanapata urahisi wa kuwatarget na ndicho kilichotokea.
 
Zikipotea ndege za marekani Boeing na kina Airbus watasema ni matatizo ya kiufundi (bahati mbaya) ila ya Russia utasikia ilikuwa mbovu.....
Akinya kuku ni sawa tu ila akinya bata Kaharisha...

Mimi huwa napenda vigezo kwenye hoja zangu, sasa nikupe historia ya hizi ndege za Tupolev -154:

Ndege hii iliundwa kwenye miaka ya 60 wakati wa USSR.

Kwa miongo kadhaa hizi ndege pamoja na uchakavu wake zimekuwa ndiyo zinategemewa tangu ya ilokuwa USSR hadi Russia.

Baada ya kuundwa miaka ya 60 ikaanza kufanya kazi mwaka 1972 na ikapigwa msasa zaidi mwaka 1986 kwa kufungwa injini mpya na vifaa vipya.

Ndege hii katika uhai wake imepata ajali zipatazo 39 zote zikisababishwa na matatizo ya kiufundi.

Pia, hii si ndege ya kwanza kupata ajali na kuanguka kwani zipo nyingine nyingi ambazo zimekumbwa na zahama hii na habari zikaishia kimyakimya.

Ndege hizi zimetumika sana na kuanguka katika migogoro ya Lebanon, Georgia na Afghanistan.

Na pia mwaka 2010 ndege kama hii ya Tupolev -154 ilokuwa imembeba raisi wa Poland Lech Kaczynski, ilianguka na kuuwa watu 96.

Mara zote ni kutokana na hitilafu kwenye ndege au kiuo cha kuongozea hizi ndege.

Merry Xmas!
 
Mimi huwa napenda vigezo kwenye hoja zangu, sasa nikupe historia ya hizi ndege za Tupolev -154:

Ndege hii iliundwa kwenye miaka ya 60 wakati wa USSR.

Kwa miongo kadhaa hizi ndege pamoja na uchakavu wake zimekuwa ndiyo zinategemewa tangu ya ilokuwa USSR hadi Russia.

Baada ya kuundwa miaka ya 60 ikaanza kufanya kazi mwaka 1972 na ikapigwa msasa zaidi mwaka 1986 kwa kufungwa injini mpya na vifaa vipya.

Ndege hii katika uhai wake imepata ajali zipatazo 39 zote zikisababishwa na matatizo ya kiufundi.

Pia, hii si ndege ya kwanza kupata ajali na kuanguka kwani zipo nyingine nyingi ambazo zimekumbwa na zahama hii na habari zikaishia kimyakimya.

Ndege hizi zimetumika sana na kuanguka katika migogoro ya Lebanon, Georgia na Afghanistan.

Na pia mwaka 2010 ndege kama hii ya Tupolev -154 ilokuwa imembeba raisi wa Poland Lech Kaczynski, ilianguka na kuuwa watu 96.

Mara zote ni kutokana na hitilafu kwenye ndege au kiuo cha kuongozea hizi ndege.

Merry Xmas!

Waziri wa Uchukuzi amesema watu wasihusishe hii ajali na ugaidi,
Ameendelea kusema tatizo la kiufundi au rubani ndiyo kinaweza kuwa chanzo cha ajali.
 
Mimi huwa napenda vigezo kwenye hoja zangu, sasa nikupe historia ya hizi ndege za Tupolev -154:

Ndege hii iliundwa kwenye miaka ya 60 wakati wa USSR.

Kwa miongo kadhaa hizi ndege pamoja na uchakavu wake zimekuwa ndiyo zinategemewa tangu ya ilokuwa USSR hadi Russia.

Baada ya kuundwa miaka ya 60 ikaanza kufanya kazi mwaka 1972 na ikapigwa msasa zaidi mwaka 1986 kwa kufungwa injini mpya na vifaa vipya.

Ndege hii katika uhai wake imepata ajali zipatazo 39 zote zikisababishwa na matatizo ya kiufundi.

Pia, hii si ndege ya kwanza kupata ajali na kuanguka kwani zipo nyingine nyingi ambazo zimekumbwa na zahama hii na habari zikaishia kimyakimya.

Ndege hizi zimetumika sana na kuanguka katika migogoro ya Lebanon, Georgia na Afghanistan.

Na pia mwaka 2010 ndege kama hii ya Tupolev -154 ilokuwa imembeba raisi wa Poland Lech Kaczynski, ilianguka na kuuwa watu 96.

Mara zote ni kutokana na hitilafu kwenye ndege au kiuo cha kuongozea hizi ndege.

Merry Xmas!

Mkuu tukifatilia kwa karibu ndege zilizo hundwa Mataifa mbali mbali, takwimu zao za ajali hazina tofauti kubwa na ndege za Urusi specifically TU-154, kwani tatizo liko wapi- tutafutie takwimu za ajali za ndege zilizo hundwa na kampuni za Amerika mfano:Boeing 7X7 x=0,2,3,4,6 and 8; McDonnell Douglas na Lockheed.

Haya sasa twende Ulaya kampuni ya kuhunda Airbus imepoteza ndege ngapi kwenye mazingara ya kutatanisha, moja niliona inashindwa kutua kwenye uwanja ikaparamia msitu mnene uliokuwa karibu na uwanja wa ndege matawi ya miti ndiyo yalisaidia abiria wengi wasipoteze maisha, kuna mifano mingi kuhusu matatizo ya control systems za Airbus lakini mara nyingi usingizia marubani eti walipata kichaa wakiwa angani na kubamiza ndege kwenye makorongo au baharini - nothing can go horribly wrong kwa western manufactured aircrafts save Russian junks hizo ndizo habari watu wa magharibi wanataka Dunia iamini for a reason!!!

Narudia kuhoji hivi takwimu za kimataifa zinaonyesha nini kuhusu track record za usalama wa ndege za TU-154 kabla ya USSR haijasambaratika, halafu mtu anakuja hapa na kudai eti TU-154 zinapata ajali sana lakini Warusi uwa hawasemi ukweli - lini Urusi iliwahi kukaa kimya ndege zake za kiraia zinapo pata ajali - lini?

Ndege ya Poland ilipo anguka na kuua mkuu wa jeshi na Rais na baadhi ya mawaziri ulijua nini kilitokea kabla ya ndege kupata ajali? je, hali ya hewa ilikuwaje na rubani alishauriwa afanye nini akapuuzia, mbona usemi lolote kuhusu ndege ya kiaarabu aina ya Airbus iliyo anguka kwenye uwanja wa ndege nchini Urusi na kuua abiria kutokana na hali ya hewa kama iliyo ikumba ndege ya Poland aina ya TU-154.

Labda nikukumbushe kitu, ni hivi: kuanzia miaka ya sitini, sabini mpaka mwanzoni mwa miaka ya tisini, shirika la ndege la USSR i.e Aeroflot ndilo lilikuwa linaongoza Duniani kwa kubeba abiria wengi kwa mwaka na ndege zao kuwa na safety record nzuri au wewe hilo ulijui?

Ndege zilizokuwa zinatumia kwa wingi na shirika/kampuni ya Aeroflot ni TU-154, hizo ndizo zilikuwa ni workhorse za shirika la Aeroflot zikifuatiwa na Illushin, binafsi nakumbuka nikiwa Shule nilikuwa naona ndege aina ya TU-154 zikitua Dar, nadhani mara tatu kwa wiki, niliwahi vile vile kwenda kiwanjani kuziangalia, nilivutiwa sana na mabawa yake yalivyo kaa slanted downward tofauti kabisa na ndege nyingine, hata inavyo paa angani upaaji wake haufanani na ndege nyingine, si hilo tu hata injini zake hazikuwa na kelele kama za DC-9, Boeing 707,727 na 737 kati ya hizo Boeing 747 ndiyo kelele za injini hazikuwa kubwa sana kutokana na injini zake kufanyiwa high bypass na kampuni ya RollsRoyce.

Sasa kama miaka ya hivi karibuni baada ya Serikali ya Urusi kuruhusu makampuni ya watu binafsi kuanzisha usafiri wa ndege na kama kampuni hizo zinakata kona i.e hazitaki kuzifanyia service za mara kwa mara ndege zinazo beba abaria hapo unategemea nini, unaweza kulahumu workmanship ya ndege aina ya TU-154 au Serikali ya Urusi? - wakati mwingine tusiwe tunalahumu vitu bila ya kufanya tafiti za kutosha?

Nimalizie kwa kusema kwamba wataalamu waliohunda ndege ya TU-154 pia na marubani wanasema ndege aina ya TU-154 hiko tricky sana wakati wa kupaa, wanasema rubani anapashwa kuwa mwangarifu/makini wakati ndege inaroll kugain momentum rubani akifanya makosa ya kinyanyua too soon ikifikia nyuzi/degree kumi na nne au kumi na tano haikubali tena kugain altitude wanasena hiyo ndiyo weakeness kubwa au design flaw ya ndege aina ya TU-154 na taarifa zinasema ndege ilishindwa ku-gain altitude ndiyo maana rubani alikata kona (U-turn) kurudi uwanjani kujaribu kutua lakini ndege ikanguka maili moja kabla ya kufika pwani/uwanjani kwenye kina cha maji chenye urefu wa mita 50-100. Binafsi nafikiri kiufundi hilo tatizo lilijitokeza tena kama rubani alijisahau akafikiri anarusha ndege aina ya Illushin au Sukhoi Super Jet akasahau design flaw ya ndege aina ya TU-154.
 
R.I.P Russia inaoitia kipindi kigum sana ila naamini mwanaume ni mwanaume tuu. atapambana mwishowe atarudisha hali salama ya nchi. hapo hakuna mkono wa marekani wala nini. kama mawasiliano yaliharibiwa ingejulikana tu
 
Mkuu ndio maana nimeongeza neno "UTANI" - lakini tusisahau kwamba Taifa la Urusi hivi sasa lina maadui wengi, mfano: Serikali ya Ukraine na nchi zote za Ulaya mashariki zilizokuwa chini ya himaya ya Urusi, Poland, kundi la ISIS/Daesh funded by Saudi Arabia ikishirikiana na Qatar na zamani Uturuki, Uingereza na Merikani.

Sochi hipo karibu sana na Black sea, Mataifa mengi yanayo pakana na Black sea are not in good terms na Urusi kwa kuchochewa na Mataifa yanayo hunda ushirika wa NATO - consenquently ni rahisi sana kupenyeza majasusi wa kufanya overt au covert hujuma dhidi ya Urusi kwa kushitukiza halafu wakakimbilia kujificha kwenye Mataifa hayo/kupata hifadhi au ku recruit raia wa Urusi ambao wanaishi mipakani kulisaliti Taifa lao - wamepania kujaribu kuiweka Urusi katika hali ngumu lakini njama hizo zitashindwa eventually and come Mid January Trump akisha shika usukani ndiyo kabisa hawezi ku support vukundi hivyo hatarishi kwa amani Dunia nzima.
Exactly mkuu, na nimeweka kwenye bandiko kuwa huwa wanazipa escort ya kijeshi kuivuka black sea. Walishawahi kutunguliwa na ndege aina hiyo hiyo humo humo black sea miaka ya nyuma wakidai ni wa Ukraine, kwa hilo wanajua.
 
Back
Top Bottom