Ndege ya tatu aina ya Bombardier Kuwasili nchini Mwezi huu

Biashara ya ndege hailipi kwa sasa(labda baadae) ,kwanza angejikita kwanza kwenye kilimo cha umwagiliaji(Ujenzi wa mabwawa), pili ubia wa Ujenzi wa smelter (Makinikia yanalipa kuliko abiria wa ndege kwa sasa) tatu, Ujenzi wa conference centres kubwa za kisasa na wawekezaji kwny mahoteli (ili kupata mikutano ya kimataifa) then nne, ndiyo angenunua hizo ndege. Yote heri kwa sasa hongera kwa Mheshimiwa Rais, anaweza sana tu.
Mmmh Jimbo langu halina maji, madawa hospitalini ni pungufu kwa % 60 ,hatujapitiwa na umeme wa REA, mwisho naunga mkono hoja. Halafu mnataka tuendelee
 
Mmmh Jimbo langu halina maji, madawa hospitalini ni pungufu kwa % 60 ,hatujapitiwa na umeme wa REA, mwisho naunga mkono hoja. Halafu mnataka tuendelee
hiyo ni sawa na mke ambaye mchana anamvimbia na kumtangazia mumewe kuwa hamtimizii mahitaji lakini ikifika usiku anamgawia tendo.
 
Hivi hiyo ndege inakuja kwa njia ya barabara au angani...??? Mbn kimya aisee, haifiki tu...?? Toka July..??
Barabara ingekuwa ishafika kiongozi si unajua ile inatembea hadi speed 200.Itakuwa inakuja kwa njia ya Bahari Canada mbali kiongozi tuwe na subili tu mkuu na tumuunge mkono Mheshimiwa.
 
Asante kwa taarifa.Ila kwa nia njema kabisa naomba taarifa kuhusu ile ambayo ilikuwa parked,tayari inakata mawimbi? Maana haitakuwa busara kuongeza zingine wakati hii bado haijatengemaa. Who knows, labda ndege zenyewe, yaani make ina an inherent shortcoming.
Iliyoharibika ni ile iliyonunuliwa na kikwete, ambayo ilinunuliwa ikiwa used, za magu zinapiga kazi
 
Barabara ingekuwa ishafika kiongozi si unajua ile inatembea hadi speed 200.Itakuwa inakuja kwa njia ya Bahari Canada mbali kiongozi tuwe na subili tu mkuu na tumuunge mkono Mheshimiwa.
Tumuunge mkono hewa..??? Kwa anavyopenda majigambo yule, ingekuwa inakuja kweli, kila anaposimama kuhutubia ungemsikia anasema. Ila kama umegundua SIKU HIZI HAZUNGUMZII TENA BOMBADIER...!!! Hakuna kitu hapo mkuu, changa la macho.

Tuna shida nyingi sana zaidi ya hizo bombadier. Ange-prioritize needs. Kwa gharama ya hizo ndege, maendeleo yangekuja kwa kasi sana, tena maendeleo ambayo yanamgusa kila mmoja, masikini kwa tajiri. Ila hzo ndege masikini hazimsaidii kwa lolote.
 
Back
Top Bottom