Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,881
- 20,732
Ahsante kwa taarifa.Hivi Kikwete nae kumbe alijikongoja akanunua ndege.Ilikuwa aina gani na ilitumika kwa shuhuli gani,mbona sikuwahi kuisikia wala kuiona?Iliyoharibika ni ile iliyonunuliwa na kikwete, ambayo ilinunuliwa ikiwa used, za magu zinapiga kazi