Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,237
- 12,989
Mda huu nakuandika habari hii saa 23:56 Dar Es Salaam! Radar zinaonyesha ndege ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliondoka nchini Tanzania saa 15:56 ila ilipotezwa kwenye radar dakika kadhaa baada kuruka! Muda huu naleta taarifa hii ndege ya Rais imeonekana kutua tena Dubai.
Je, imeenda kumchukua Rais?
Je, imeenda kumchukua Rais?