Wakuu salaam!
Naomba msaada wandugu, nimeona picha ya ndege ya rais kwenye gazeti la the citizen la leo ambayo mhe. Mramba wakati akiwa waziri wa fedha alisema watz hata kama watakula nyasi lakini lazima inunuliwe. nimeshituka kuona pamoja na alama nyingine za taifa kama jina la nchi, nembo ya bibi na bwana alama ya bendera ya taifa pia imeandikwa 5H-CCM. Hii ina maana gani?
Msaada pleeeese!
Naomba msaada wandugu, nimeona picha ya ndege ya rais kwenye gazeti la the citizen la leo ambayo mhe. Mramba wakati akiwa waziri wa fedha alisema watz hata kama watakula nyasi lakini lazima inunuliwe. nimeshituka kuona pamoja na alama nyingine za taifa kama jina la nchi, nembo ya bibi na bwana alama ya bendera ya taifa pia imeandikwa 5H-CCM. Hii ina maana gani?
Msaada pleeeese!