Ndege ya rais Tanzania ni mali ya CCM?

Ndege ya rais Tanzania ni mali ya CCM?

CCM ni Serikali na Serikali ni CCM, Ufisadi wa CCM ni wa Serikali na Ufisadi wa Serikali ni wa CCM. U-VCCM mpo ? Nasikia mnataka kumtoa JK uenyekiti kwa sababu ya taswira ya hapo juu, ufisadi wa serikali unakiharibia chama.......
 
Kwa kuongezea kuna rubani alikuwa akiirusha aliwahi niambia kuwa inaitwa "Chali Chali Mike"

Hapana.
Hilo siyo jina la hiyo ndege.
Katika Aviation industry herufi za A-Z zinatamkwa kwa namna ya pekee, ambapo ni kama ulivyosema hapo juu..
eg JF itaitwa 'JULIET FOXTROT'
Wewe MPANZI utaitwa MIKE PAPAA ALFA NOVEMBER ZULU INDIA.
...right?
 
Hapana.
Hilo siyo jina la hiyo ndege.
Katika Aviation industry herufi za A-Z zinatamkwa kwa namna ya pekee, ambapo ni kama ulivyosema hapo juu..
eg JF itaitwa 'JULIET FOX'
lol sasa CCM ukitumia ICAO spelling si itaitwa Charlie Charlie Mike?

** Kama unatumia spelling ya ICAO/ITU ni Juliett Foxtrot.
 
Mkuu umechanganya mambo ndege ya 5h-CCM ni ile Faulker F-28 iliyonunuliwa mwaka 1978 (picha chini), miaka yote inaitwa CCM.
1788160.jpg


Ndege ambayo ilinunuliwa wakati wa Mkapa registration yake ni 5H - ONE (picha chini)
1874249.jpg

Kwanini CCM mwaka 1978 walinunua kwa kodi za nani? Na ilikuaa ni mfumo wa chama kimoja? Hata ndege aliyozawadiwa Nyerere na Finland (mnirekebishe kama nimekosea nchi) lakini akaipa serikali ilibidi iwe na nembo ya Taifa na kwamba ni ya serikali....
 
Hii G5 inakwenda sana Switzerland kulikoni? Mara ya mwisho kuwa uko ilikuwa Jan 29th... WEF?
Jan 21 ilikuwa England (Luton).
 
Wakichakachua na hii kitu patachimbika hapa. Asante mkuu kwa kututahadharisha katika hili.
 
Acha uzandiki wewe ulitaka iandikweje?

Mwanaume we angalia lakini usije kusutwa
 
Hiyo CCM kwenye ndege ya serikali haina maana ya Chama Cha Mapinduzi. Ni majina ya ki-Aviation. Kirefu chake ni Charle Charle Mike
 
hivi kweli ccm kirumba mwanza kilijengwa na ccm??? na mapato yake wanacontrol MFA/TFF or ofici ya ccm..:help::help::help:
 
Hii G5 inakwenda sana Switzerland kulikoni? Mara ya mwisho kuwa uko ilikuwa Jan 29th... WEF?
Jan 21 ilikuwa England (Luton).
Ndugu kwa jinsi hilo shirika la TGFA lilivyo wanaruhusiwa kuzikodisha hizo ndege zote hat hiyo Gulfstream (5H-ONE) kwahiyo usishangae kuwa inapiga misele mingi ukizingatia ni one of the most advanced hi tech corporate jet available
 
Back
Top Bottom