Ndege ya nne, Boeing 787 Dreamliner kutua nchini kesho Julai 08, 2018 saa nane mchana

Hata akipata 100% ni sawa sitashangaa,mwenyekiti wa tume anateuliwa na nani?mkurugenzi wa tume je?na wanapewa na vyeo uchaguzi ukiisha,wakurugenzi wa halmashauri ni wateuliwa wa nani?na si ndo wanasimamia uchaguzi?polissm je?lazima mshinde vizuri.unaamini huwa wanashinda kwa haki?
sasa kama unayajua hayo unajiitaje mpinzani au unapotezaje muda kushabikia upinzani hali ya kuwa ktk chaguzi mshindi anajulikana jifunze kutoka kwa majirani walitimiza uliyoyataka mwisho wa siku nini kilitokea,muda mwingine ni heri bhangi ukaivuta kuliko kuitumia kama mboga tuache kulialia.
 
Muda ndo utasema kama Raia wanamuelewa au la....... Trust me, mwaka 2020 Ukawa mtapigwa 90% kwa 10%. Kitakuwa kipigo cha Mbwa koko
kwa tume hii hata wakipata hiyo 10% washukuru mungu. juzi aliyekuwa mkurugenzi wa uchaguzi kailima kazwadiwa cheo serikalini. teh htehh
 
CCM mnanunua ndege mshinde au muhudumie wananchi.Sishangai kuwa pamoja na kukaa madarakani tangu tupate Uhuru bado mmnafanya vitu I'll mshinde uchaguzi bado tuko nyuma Sana.Ndege inaletwa tunafanya matangazo na sherehe really,sijaona bado siku tukiwa na ndege hata Kama Kenya airway naona tutakanyagwa kanywagwa na CCM .Sisi tunahitaji ndege kweli ,Kama hospital ,barabara ,maji nk bado Ni asilimia ndogo tu ya wanna nchi wanapata.Shule zetu utafikiria vyoo vya city .
 
Back
Top Bottom