Ilishanyanyuka iko hewaniIle iliyokwama Mwanza ilishanyanyuka?
Boeing si maskini na wenye dhiki. Kumbuka serikali ndio iliwafuata na kutoa order. Na si boeing.Boeing wamepata pa kulisikumia hilo dege na watanzania wanashabikia kama mazuzu vile.
Hujanielewa wewe.Boeing si maskini na wenye dhiki. Kumbuka serikali ndio iliwafuata na kutoa order. Na si boeing.
Unaposema watu hawamuelewi ni wakina nani hao waliokuambia hawamuelewi? Sema wewe humuelewi kwani tupo tunaomuelewa.hahahahah mzee anakazana sana kuonesha watanzania anafanya kitu lakini wapi! watu hawamuelewi
Nahisi wa Tz wengi wameanza Kuelimika hao wajinga na washamba pia, wameanza kustuka hivyo labda kwa wizi wa kura tu.Muda ndo utasema kama Raia wanamuelewa au la....... Trust me, mwaka 2020 Ukawa mtapigwa 90% kwa 10%. Kitakuwa kipigo cha Mbwa koko
Habari mbaya sana hii huko UfipaNdege yetu mpya aina ya Boeing 787 Dreamliner inatua nchini kesho 08/07/2018 saa 8:00 mchana.
Karibuni wote tuungane na Rais Magufuli katika mapokezi ya ndege hii.
Pia soma> Ndege mpya ya Tanzania aina ya Boeing yafanya majaribio ya kuruka
Ufipa safari hii sijui mtajificha wapiHuku kijijini kwetu nanyumbu ndege haituhusu kabisa, shida yetu ni;-
1. Maji
2.Zahanati
3.Madarasa na vitabu
4.Umeme, na
5. Pembejeo
Mwambie hizo ndio shida zetu alizoahidi kututatulia lakini mwaka wa 3 sasa bila bila, sasa ndege sisi ya nini ATCL lenyewe linaingizaga hasara tu kila mwaka, shirika gani sasa hilo
Vipaumbele iwe matatizo ya wananchi wengi p'se
Hahahaaashahahahah mzee anakazana sana kuonesha watanzania anafanya kitu lakini wapi! watu hawamuelewi
Ha ha haaa pole...Ujinga sio shida shida ni upumbavu. Ila ukijibu hoja kwa tusi basi fahamu wewe nimpumbavu.
Jiwe linaporomokaMuda ndo utasema kama Raia wanamuelewa au la....... Trust me, mwaka 2020 Ukawa mtapigwa 90% kwa 10%. Kitakuwa kipigo cha Mbwa koko
Ufipa ndio nini, mbona sikuelewi mzeeUfipa safari hii sijui mtajificha wapi