Ndege yetu mpya aina ya Boeing 787 Dreamliner inatua nchini kesho 08/07/2018 saa 8:00 mchana.
Karibuni wote tuungane na Rais Magufuli katika mapokezi ya ndege hii.
Pia soma> Ndege mpya ya Tanzania aina ya Boeing yafanya majaribio ya kuruka
Karibuni wote tuungane na Rais Magufuli katika mapokezi ya ndege hii.
Pia soma> Ndege mpya ya Tanzania aina ya Boeing yafanya majaribio ya kuruka