Taifa Digital Forum
Member
- Jun 4, 2022
- 68
- 184
Nimecheka tuHaitakamatwa? My Tanzania!!!
Acha kuandika kinafiki, wataje! Na utoe na kuyaweka hadharani hayo matusiMaajabu kuna waTanzania wanatukana na wengine kuombea mabaya, kitu ambacho kinawasaidia wenyewe.
Haswa wale wa upande ulee, hawamaga jema, wao kila kitu kwao kibaya
Huo ndio ukweli, wataalamu wanaisikilizia tu ipigwe chain 😅😅😅 .Nimecheka tu
Ila kama kweli tuna deni SI tulipe? Hata vitabu vya Dini vinatuasa kupatana na Wadeni wetu, tusione aibuHuo ndio ukweli, wataalamu wanaisikilizia tu ipigwe chain 😅😅😅 .
Dawa ya deni ni kulipa, ila hayo madeni yetu yana namna isiyo ya kawaida, ndio maana jamaa wanawinda mali zetuIla kama kweli tuna deni SI tulipe? Hata vitabu vya Dini vinatuasa kupatana na Wadeni wetu, tusione aibu
Tunaleta jeuri kwenye madeni ya watu? Tulipe tu-enjoy ndege zetu Kwa amaniDawa ya deni ni kulipa, ila hayo madeni yetu yana namna isiyo ya kawaida, ndio maana jamaa wanawinda mali zetu