Ndege ya Mizigo Air Tanzania hii hapa. Kitu kipya!

Mnaingiza ndege wakati zingine zinapaki kodi zetu hazina Kazi.
Air TANZANIA haiwezi survive bila Magufuli huu ndio ukweli, zaidi ya kuchezea kodi zetu tu

Sikia mkuu kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake kuna mambo serikali yanafanya yapo vizuri sana lakini kuna mengine wanakosea sasa unaposema ivyo unakuwa unakosea sana je kipindi magufuli hakawa rais taifa lilikuwaje?
 
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Ina engine?
 
watanzania ni watu ambao wengi hawazijui fursa za kibiashara za kimataifa, kenya wenzetu ndio wapo mbele zaidi kuzichangamkia fursa za exportation,

elimu iongezwe zaid juu yetu akili zifunguke izi ndege ziwe chachu kwetu.
Kikwazo kikubwa ilikuwa ni usafiri na Wala sio watu kutojua fursa
 
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Nasubiri wazee wa vipaumbele watuwekee loloki za kama hiki ni kipaumbele au tulipaswa kudeal na njaa kwanza
 
Siyo tunamalizia kupokea mzigo alokuwa amelipia cash hayati? hope kabla kamala hajatua bongo itakuwa imefika,mambo ya diplomacy hayomitano Tena kwa mama akeee

Haya hawezi kununua ndege ya mizigo angeifanyia kitu gani wakati, Starehe yake ilikuwa Dreamliner ilikuwa inapaki chato.

Angenunua ndege ya mizigo ibebe nini ??? Biashara hazikuwepo, hatukuwa na diplomasia yoyote.

Kila mkitaka apumzike salama anaamshwa na Ben Saanane wapigane.
 
Back
Top Bottom