Wakati wa Magu na wakati wa huyu mama. Ni wakati upi maisha ni magumu zaidi!!??Tukisemahali ngumu ya maisha iliyoko sasa ni matokeo ya utawala wa magufuli, mnakataa. Ila ndege mnasema alinunua magufuli.
Hizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Ungekuwa umeshapata akili miaka ya 1979/80 ukashuhudia matokeo ya vita ile ya 78/79, leo ungeweza kutambua kuwa maisha magumu ya wakati huu ni matokeo ya utawal mbovu wa miaka mitano ya magufuliWakati wa Magu na wakati wa huyu mama. Ni wakati upi maisha ni magumu zaidi!!??
ongea ukweli wako
Magufuli alopokuwa ananunua ndege alipingwa na wakina Ayatollah Zitto Kabwe,mbona Mama naye ananunua asemwi?
Kwa vile ananunua mvaa kobazi mwenzio basi hukosoi kabisa!Mama yupo vizuri
Huku machadema yakimuunga mkono mama ili kumkomoa Magufuli!Huwa nafurahia ninapoona MICCM Pro Samia na Magufuli yanararuana
Mimi ni mfuasi wa Mwendazake Sukuma GangKwa vile ananunua mvaa kobazi mwenzio basi hukosoi kabisa!
Ila nyie wafuasi wa Zitto mna kazi sana
Uongo Mkuu wa kishetwani!Hizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Wewe taahira niambie mchango wa Magufuli kwenye kufanyaUngekuwa umeshapata akili miaka ya 1979/80 ukashuhudia matokeo ya vita ile ya 78/79, leo ungeweza kutambua kuwa maisha magumu ya wakati huu ni matokeo ya utawal mbovu wa miaka mitano ya magufuli
.
Wote.Wakati wa Magu na wakati wa huyu mama. Ni wakati upi maisha ni magumu zaidi!!??
ongea ukweli wako
Mvaa kobaz huwezi kuwa mfuasi wa mwendazakeMimi ni mfuasi wa Mwendazake Sukuma Gang
2019 na 2020 Maamuzi ya jiwe.Wewe taahira niambie mchango wa Magufuli kwenye kufanya
mchele kuwa 3500
Maharage 4000
Unga 2000
Petrol na dizel kuwa 3200
Hebu tuchambulie kisomi mchango wake kwenye hilo, vinginevyo si kila mtu ana mavu kichwani kama ilivyo kwako
Hakika.Ungekuwa umeshapata akili miaka ya 1979/80 ukashuhudia matokeo ya vita ile ya 78/79, leo ungeweza kutambua kuwa maisha magumu ya wakati huu ni matokeo ya utawal mbovu wa miaka mitano ya magufuli
.
Je wewe ni mfuasi wa Mwendazake?Mvaa kobaz huwezi kuwa mfuasi wa mwendazake
Wakikujibu niko paleSiyo tunamalizia kupokea mzigo alokuwa amelipia cash hayati? hope kabla kamala hajatua bongo itakuwa imefika,mambo ya diplomacy hayo😅mitano Tena kwa mama akeee 🎵🎺