Ndege ya Mizigo Air Tanzania hii hapa. Kitu kipya!

Hii Ndio Mjanja mmoja na bado yuko kazini anapanga deal lingine aliomgeza zaidi ya mil 45 dola???

Yaani Nchi ina mijitu mijinga isiyokua na huruma na very weak ikiona mzungu inakua inakubali kila kitu....

Unainia nchi yako bil 100 unapewa rushwa bila 5 akilli za kipumbavu sana

Na Hawa ATC kila mwaka wanasema hasara ila ukiingia online unaonyesha ndege zote zimejaa sasa nyie tuwaeleweje??? Kama mnajaza kila siku loss ni ya nn????
Wizi kushoto kulia
 
Hoja ya mkuu wa mkoa wa mwanza kuboresha uwanja wa Mwanza jengo la abiria, jengo la mizigo, kuruka ndege na jengo la biashara na viwanja vingine nchini ie Mbeya kuwa kwenye hadhi ya kimataifa ni muhimu sana kwa sasa kwa biashara hii ya mizigo. Serikali ichukue hatua za haraka kuboresha viwanja hivyo. Aidha, ndege hii ilindwe dhidi ya majasusi wanaozivizia na kuzichukua kufidia madeni nje ya nchi.
 
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Watu washakula 80 bn TZS cha juu wametulia, wanawachora tu mnavyoraruana kwenye keyboard
 
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Hii ndio STUPIDITY???? 😄 😄 😄
 
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
 

Attachments

  • Screenshot_20230404-114746.png
    Screenshot_20230404-114746.png
    66.1 KB · Views: 5
Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Aisee siipendi ccm ila Mama Samia pekee ndiye ninayemkubali safi sana mama kwa ndege ya mizigo ikiwezekana tuwaachie wawekezaji wa ndani na nje kusafirisha abiria sisi to deal na mizigo.
 
Kwa ndege hiyo ya mizigo ni hatua nzuri kiuchumi hivyo kwa sasa nguvu kubwa ielekezwe kwenye uboreshaji wa majengo ya mizigo, JNIA, MWANZA na Songwe airports

Mna uhakika gani kuwa hiyo ndege yenu ya CARGO haiwezekani kukamatwa iendapo Ulaya kwa wadeni wenu?
 
Hii imetupiwa hapa kuwatoa relini. mambo ya ripoti ya mkaguzi yataachwa ndege itasifiwa, kazi iendelee. Nanyumbu Mtambuka msilewe!
 
Back
Top Bottom