PakaJimmy. Aliekuwa na ndege ya Mawala ni Sambeki mwenyewe Bob au ni yule chalii ake aitwaye Jamal?
Bob sambeke si ana ndege yake au? Sasa ndege ya nyaga alikuwa anafanya nayo nini au alikuwa ni mwajiriwa wa nyaga?
wataalam wa lugha hivi ni "write-off" au "light-off"?
PakaJimmy. Aliekuwa na ndege ya Mawala ni Sambeki mwenyewe Bob au ni yule chalii ake aitwaye Jamal?
Taarifa nilizozipata muda huu ni kwamba rubani wa ndege hiyo TAYARI AMESHAFARIKI.
RIP BOB SAMBEKE.
Yup,
Ni Bob Sambeke mwenyewe, ni baba wa Jamal.
Mwanae ni mjeshi, Captain wa jeshi, naye pia amekuwa pilot, lakini siye aliyehusika na ajali.
Yup,
Ni Bob Sambeke mwenyewe, ni baba wa Jamal.
Mwanae ni mjeshi, Captain wa jeshi, naye pia amekuwa pilot, lakini siye aliyehusika na ajali.
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba ndege iliyokuwa inamilikiwa na Wakili maarufu Marehemu Nyaga Mawala aliyefariki wiki 3 zilizopita na kuzikwa huko Nairobi imeanguka ikiwa katika hatua za mwisho za kutua (final approach) katika kiwanja cha ndege cha arusha.
Taarifa zinasema kuwa ndege hiyo ilikuwa na rubani pekee anayejulikana kwa jina la Jamal B S, au maarufu kama Bob Sambeke aliyekuwa anatokea West Kilimanjaro.
Taarifa zaidi zinasema kuwa hali ya rubani huyo si nzuri sana, na amekimbizwa kwenye hospitali ya Mount Meru kwa matibabu.
Maelezo zaidi kuhusu ajali hiyo ni kwamba ndege hiyo ilijaribu kutua baada ya masaa ya kawaida ya kufunga kiwanja(saa 12.30jioni) kupita.
UPDATE:
BOB SAMBEKE ALIYEKUWA RUBANI WA MAREHEMU WAKILI MAWALA. NYAGA NAYE KAFARIKI DUNIA MUDA MFUPI ULIOPITA.
NI TAARIFA MBAYA MNO!
Serious business here......poleni wahanga.