Ndege ya Jeshi yaanguka airport Dar

Mkuu kama hali hii ni ya kweli inatisha. Inawezekana kabisa kuwa Rwanda leo waki-mount attack on Tanzania wanaweza kuiteka ardhi yetu. Kutokana na jinsi hali ilivyo ovyo, ninawasiwasi sana na uslama wa nchi yetu.[/QUO
NAZANI HAKUNA NCHI AMBAYO TUNAIWEZA TENA-SISI TUMEJIKUTA NDO TUPO WEAK ZAIDI YAO,UKIJARIBU KUCHEKI DETAILS ZA MAJESHI YA JIRANI ZETU YAPO VIZURI KULIKO SISI
 
Mkuu kama hali hii ni ya kweli inatisha. Inawezekana kabisa kuwa Rwanda leo waki-mount attack on Tanzania wanaweza kuiteka ardhi yetu. Kutokana na jinsi hali ilivyo ovyo, ninawasiwasi sana na uslama wa nchi yetu.[/QUO
NAZANI HAKUNA NCHI AMBAYO TUNAIWEZA TENA-SISI TUMEJIKUTA NDO TUPO WEAK ZAIDI YAO,UKIJARIBU KUCHEKI DETAILS ZA MAJESHI YA JIRANI ZETU YAPO VIZURI KULIKO SISI
Nshimbo akimaliza strategy yake ya kushirikiana na sisiemu kwenye kampeni hapo ndo atakumbuka kuangalia mambo ya kijeshi yaliyolala kwa misingi ya amani na utulivu.Ngoja tuzidi kuumbuka na maadui wajue tulivyo ....
 
msibabaike hali ni shwari, haya ni mazoezi madogo ya kivita, sisi watu wa KIJANI tunataka kuwaogofya wale watu wa KAKI make wamezidisha maandamano, na kuchonga sana! alafu tuone kama wataendelea...! na bado!
 
Tpdf ilikuwa jeshi kipenzi cha watu..sijui wanakuwaje..sababu hapo polisi ndo vimeo kabisa
 
Tumeunda tume kufanya uchunguzi wa kina kubaini chanzo cha ajali. Hatutaweka hadharani matokeo ya uchunguzi kwani hizi ni habari za kijeshi, zinagusa usalama wa nchi. Hakuna mwanajeshi aliyekufa au kujeruhiwa. Ajali kama hizi si kitu kipya, zilishatokea Zambia, Libya na hata Urusi. Wananchi wasiwe na hofu, waendelee na shughuli zao za kawaida. Tunaahidi ajali kama hii haitatokea tena.
 
Kwa hiyo imeshathibitishwa kuwa ndege ilianguka kweli? Sijaangalia press leo, ila kama ni kweli basi hii nayo ni shughuli!
 
ndege za JW NI mchina zote, hivyo tegemea matatizo ya hivyo anytime. na bahati mbaya zote zinakuja zikiwa ZIMEPIGWA RANGI kama mpya, kumbe ni za 1947.
Mbona hizo za China hatuzisikii zikianguka hivyo hovyo huko china? Matatizo na uzembe wa nchi zetu tusilaumu nchi zingine bure..lol

 
eti kumbe eeh?sawa lakini kumbukeni kuwa tumewapa siku 9 tu la sivyo hapatakalika hapo
msibabaike hali ni shwari, haya ni mazoezi madogo ya kivita, sisi watu wa KIJANI tunataka kuwaogofya wale watu wa KAKI make wamezidisha maandamano, na kuchonga sana! alafu tuone kama wataendelea...! na bado!
 
Ama kweli kua uyaone:
Miaka kati ya 70-80 nakumbuka nikiwa mdogo hadi naingia shule ya msingi, Jeshi letu lilikuwa madhubuti saaana kupita maelezo.

Jeshi enzi hizo, lilikuwa na wanajeshi shupavu, wenye misuli na warefu.

Jeshi pia lilikuwa na vifaa vingi, km magari, Ndege n.k.

Jeshi lilikuwa likiendehs Hospitali zake karibu katika kila Kambi yake na tena dawa zilikuwa zinapatikana bureeee. Madaktari wa jeshi walikuwa wanaaminika sana kwa kuchapa kazi.

SASA JESHI LA LEO

Jeshi la sasa limeingiliwa na maradhi ya mdondo! Nathubutu kusema hivi sababu hao wanajeshio wenyewe ukiwaon utawaonea huruma:

Yaani MICHANGANYO KALETE!- humo wamo Mbilikimo, kina magagula, kina yomba yomba, kina tendegu, kina YAHEEEEE n.k

HAPA NAONA KICHEFU CHEFU TU.

Halafu wengi wao wagumu kishenzi kuelewa, wakikomalia jambo ndio hilo hiloooo mpaka kunakucha.

Jeshi halina vifaa na wanajeshi wanaishi URAIANI, hii si aibu?
Hospitali za jeshi nyingi zimezimika kama mshumaa!

Jeshi limekuwa shabiki wa chama tawala na viongozi wake!

Wanaofaidi ni wale wakubwa tu wa chini kazi yao kwata na sherehe za kitaifa, jasho linawatoka na wanaambulia soda au chupa ya maji tu.

nadhani imefika wakati kujifunza na kurudisha heshima ya jeshi letu.
Tuwe na jeshi dogo lenye nidhamu na la wasomi na siyo kuona kama jeshini ni sehemu ya kuajiri mtu yeyote hata kina CHAKUBIMBI!

Hakuna ukweli kwenye maandiko yako. Tanzania haijawahi kuwa na jeshi imara hata moja. Miaka hiyo ilikuwa ni miaka ya propaganda na hata wengine walidiriki kusema Tanzania inaongoza kwa kuwa na wapelelezi (usalama wa Taifa) wazuri. Ni miaka ambayo hakukuwa na information. Ni miaka ambayo kila kitu cha Tanzania kilikuwa kinasifiwa. Unaweza kujiridhisha kidogo kwa kupitia ile vita vya Uganda. Angalia vifaa vya UgandaVS Tanzania, Idadi ya wanajeshi na pia strategies. Unakumbuka wanajeshi walikuwa wanavamia bila kujipanga? Walienda kuitwaa Kampala kwa kubahatisha hata ramani ya mji ule hawakuwa nayo. Kwahiyo tusiwe tunajisifia kwa hali ambayo haikuwepo.
 
Hakuna ukweli kwenye maandiko yako. Tanzania haijawahi kuwa na jeshi imara hata moja. Miaka hiyo ilikuwa ni miaka ya propaganda na hata wengine walidiriki kusema Tanzania inaongoza kwa kuwa na wapelelezi (usalama wa Taifa) wazuri. Ni miaka ambayo hakukuwa na information. Ni miaka ambayo kila kitu cha Tanzania kilikuwa kinasifiwa. Unaweza kujiridhisha kidogo kwa kupitia ile vita vya Uganda. Angalia vifaa vya UgandaVS Tanzania, Idadi ya wanajeshi na pia strategies. Unakumbuka wanajeshi walikuwa wanavamia bila kujipanga? Walienda kuitwaa Kampala kwa kubahatisha hata ramani ya mji ule hawakuwa nayo. Kwahiyo tusiwe tunajisifia kwa hali ambayo haikuwepo.

Ndugu, una uhakika na unayosema au ni zile simulizi za kwenye gahawa? Rejea kwenye vita vya Uganda ushawahi kusikia semi kama 'amphibian platoon' au kipigo cha Lukaya weye? Una matatizo ya msingi weye dada!!
 
Mkuu kama hali hii ni ya kweli inatisha. Inawezekana kabisa kuwa Rwanda leo waki-mount attack on Tanzania wanaweza kuiteka ardhi yetu. Kutokana na jinsi hali ilivyo ovyo, ninawasiwasi sana na uslama wa nchi yetu.[/QUO
NAZANI HAKUNA NCHI AMBAYO TUNAIWEZA TENA-SISI TUMEJIKUTA NDO TUPO WEAK ZAIDI YAO,UKIJARIBU KUCHEKI DETAILS ZA MAJESHI YA JIRANI ZETU YAPO VIZURI KULIKO SISI

Mkuu karne hii na hali tuliyonayo threat kubwa ya usalama wa tanzania sio Rwanda wala kenya wala uganda.

Threat kubwa ya usalama wa tanzania imo humu humu tanzania.
kutoka kwa watanzania wenyewe.

Hata ukifanya simple SWOT analysis utagundua. Hata tungekuwa hatuna jeshi kabisa Tishio kubwa la Tanzania ni Mafisadi
sasa inatisha zaidi kama hata watu wa USALAM wakiamua kuwa kitu kimoja na Adui

Katika kitabu cha Sun Tzu the art of war anasema
.......If the words of a commander are not clear and distinct and if orders are not cleary understood the general is to blame , but if the orders are clear and soldiers nevertheless disobey then it is fault of thier officer ......
Teh teh teh
 
Poleni, kwanini asingerudi hewani baada ya kuona magurudumu hayatoki?
labda wese lilikata who knows? na kama angeenda hewani halafu wese ndo limekata si ndio ingetua kwenye makazi ya watu, kumbuka ni ndege ya jeshi hivyo tutegemee kuwa walau itakuwa imebeba tubomu tuwili, tutatu hivi LOL!
 
Jamani tutofautishe accident na makusudi...
Ni vigumu kutofautisha maana wakati tunaitisha uchunguzi ilikubaini kama ni accident au uzembe au hujuma tayari utaona msururu wa viongozi wakianza kusema ni ajali- kwa nini wasisema tusubiri uchunguze ukamilike ili tujue chanzo na tiba ili jambo hili lisijirudie , unasikia mtu anasema hakutatokea kitu kama hiki tena ndugu wananchi ????? kweli tuna safari ndefu
 
Wananchi wamejeruhiwa sana na wenye nchi imefika mahali hatuaminiani hata sisi kwa sisi...kazi ipo!
 
Ndugu, una uhakika na unayosema au ni zile simulizi za kwenye gahawa? Rejea kwenye vita vya Uganda ushawahi kusikia semi kama 'amphibian platoon' au kipigo cha Lukaya weye? Una matatizo ya msingi weye dada!!
Wengine hapa huwa hatuandiki kejeli au kwa dhana. Hupenda kuandika kwa reference. Nimekueleza wazi udhaifu wa Jeshi la Tanzania. Rejea wikipedia utaliona hilo na pitia references mbalimbali zilizotajwa. Pia unaweza kuangalia hapa EAST AFRICA: An Idi-otic Invasion - TIME utashangaa namna Watanzania walivyozitungua ndege zao wenyewe. Tanzania ilishinda vita vile, lakini madhara yake kutokana na jeshi dhaifu hayajaisha hadi leo hii. Kutaja platoon hakujustify umaridadi wa jeshi. Labda ungeweka facts ingependeza zaidi.
 
ndege za JW NI mchina zote, hivyo tegemea matatizo ya hivyo anytime. na bahati mbaya zote zinakuja zikiwa ZIMEPIGWA RANGI kama mpya, kumbe ni za 1947.


Tatizo siyo Mchina,unataka kuniambia hata vifaa vya jeshi la China ni bomu? Mchina atakuuzia kitu kwa hela yako,kwa hiyo tatizo ni sisi tunaotoa hela si wao.
 
Back
Top Bottom