macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,808
- 39,623
Jeshi dhaifu haliwezi kushinda vita! Hayo mambo unayoelezea kwenye vita ni kitu kisichokwepeka. Au hufuatilii vita vya majeshi ya nchi zilizoendelea? Waamerika wameuana wenyewe kwa wenyewe sehemu nyingi tu....Wengine hapa huwa hatuandiki kejeli au kwa dhana. Hupenda kuandika kwa reference. Nimekueleza wazi udhaifu wa Jeshi la Tanzania. Rejea wikipedia utaliona hilo na pitia references mbalimbali zilizotajwa. Pia unaweza kuangalia hapa EAST AFRICA: An Idi-otic Invasion - TIME utashangaa namna Watanzania walivyozitungua ndege zao wenyewe. Tanzania ilishinda vita vile, lakini madhara yake kutokana na jeshi dhaifu hayajaisha hadi leo hii. Kutaja platoon hakujustify umaridadi wa jeshi. Labda ungeweka facts ingependeza zaidi.
Anyway naona uelewa wako wa mambo ya military sio mzuri....